Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Swali:
Please advise me on this issue, be it medically or ethically. I am not engaged in the act but I just wanna equip myself with the knowledge or wisdom per se.
Akhsanteni.
Baadhi ya majibu:
1.
2.
3.
Please advise me on this issue, be it medically or ethically. I am not engaged in the act but I just wanna equip myself with the knowledge or wisdom per se.
Akhsanteni.
Baadhi ya majibu:
1.
....am not medical expert but kwa jinsi ninavyofahamu kama mama hana complications kati ujauzito wake na yuko willing unaweza kula mzigo hata mpaka siku moja kabla hajaenda labour. Kinachowaogopesha watu kuwa eti mwanamke akienda kujifungua mtoto atatoka na uchafu (sperms) na wengine kutokujua raha au utamu wa kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito. Mazee ni poa kishenzi i did it to my wife mpaka siku 1 kabla ya kwenda kujifungua.
Muhimu ni kuwa mchague style ambayo mwanamke atakuwa comfortable kutokana na ukubwa wa tumbo na pia you need to do it slowly...Man u'll enjoy it believe me....
2.
Kutokana na makala moja niliyosikiliza BBC siku moja kama mwanamke hasikii maumivu yoyote wakati wa tendo anawezakushirika kwa siku zote mpaka mama kujifungua pasipo na madhara yoyote kwa mama wala mtoto
3.
Inashauriwa kutumia njia ya kulala ubavu wa kushoto (left lateral position). Mama akilala chali (missionary style) mtoto hukandamiza mwendo wa damu upitao nyuma ya tumbo hivyo sio vyema. Fanya hadi wiki ya 31-32 kisha mpumzishe mama kwa wiki 3-4! Hii ni kwa sababu mbegu za kiume zina enzyme(kimeng'enyo ) fulani kwenye kichwa chake ambacho huweza kufungua nyumba ya mtoto akazaliwa premature! Kuanzia wiki ya 36 waweza endelea hadi uchungu utakapoanza maana wakati huu mtoto anakuwa ameshakomaa!