hv udsm washaanza kutoa majinathanx qaqa,chuo gani hicho codes zinagoma?
hv udsm washaanza kutoa majinathanx qaqa,chuo gani hicho codes zinagoma?
bado hawajatoa ila ingia kwenye account yako uliyotumia kuaply angalia selection status yako, wameonesha huko Kama umechaguliwa fanya haraka uspoteze mda kusubiri hayo majina manana wanasema kunatatizo limetokeahv udsm washaanza kutoa majina
Hukuombwa code hapa kwny ku comfirmmbna codes znakuwa hazina maana tena kwa udsm,maana hakuna sehem ya kuingiza code,kuna sehem ya ku-confirm tu...
embu angalieni account yangu hii apo attachment nmeiscreen shot
skuombwa code kaka,nmepewa option ya ku-confirm tu......
mixer herufi na namba
Mkuu kwani wewe una single au multiple selections? Najaribu kuwasoma UDSM mfumo wao kulinganisha na kile TCU wametuaminisha.mbna codes znakuwa hazina maana tena kwa udsm,maana hakuna sehem ya kuingiza code,kuna sehem ya ku-confirm tu...
embu angalieni account yangu hii apo attachment nmeiscreen shot
Mm tyr ardhi,Oyaaa mm nishatuma code ardhi ilaaa bado cjapokewaa feedback
tareh 6 had 10
multiple mkuu,kwani vp mkuu?Mkuu kwani wewe una single au multiple selections? Najaribu kuwasoma UDSM mfumo wao kulinganisha na kile TCU wametuaminisha.
hata ww umeona mkuu?udsm codes hazitumikiMkuu kwani wewe una single au multiple selections? Najaribu kuwasoma UDSM mfumo wao kulinganisha na kile TCU wametuaminisha.
Wakuu, tangu asubuhi saa 2 nahangaika hadi muda huu kuthibitisha UDSM lakini inakataa kabisa.hata ww umeona mkuu?udsm codes hazitumiki
Nasikia wameongeza siku eti ni kweli?Wakuu, tangu asubuhi saa 2 nahangaika hadi muda huu kuthibitisha UDSM lakini inakataa kabisa.
Nikifungua sehemu zote inakubali lakini kwenye kuthibitisha ndio inagoma kabisa.
Kuna tatizo gani wakuu? Kwa ambao mumefanikiwa tuelezeni namna ya kufanya