Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Pia sijatumiwa mpaka sasa hivi sielew ttz nini haswaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Mm bdo pia cjapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Hata mm bado sijapata hizo code
 
hivi wakuu udsm hawajatoa hayo majina ya first round?????
Na mimi nasubiria hicho kitu mkuu, ukipata jibu tushtuane.
Hivi wenye multiple selections UDSM watajuaje program waliochaguliwa? Au una confirm chuo bila kujua program. Nilitegemea chuo chetu KIKUBWA kiwe kimetoa majina na program mtu aliyochaguliwa kama wenzao wa UDOM, Mzumbe, na SUA. Au nacho kinakuwa "CHUO CHA KATA?" LoL
 
Hivi wenye multiple selections UDSM watajuaje program waliochaguliwa? Au una confirm chuo bila kujua program. Nilitegemea chuo chetu KIKUBWA kiwe kimetoa majina na program mtu aliyochaguliwa kama wenzao wa UDOM, Mzumbe, na SUA. Au nacho kinakuwa "CHUO CHA KATA?" LoL
Ndio hicho kinachotatiza mkuu.
Sijui mtu utathibitishaje ilihali hujui kozi uliyochaguliwa.

Kwenye status zao hawajaonesha kozi aliyochaguliwa mtu, ebu tusubiri labda wanaweza kutoa hizo kozi baadae
 
Mm bdo pia cjapata

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kwa nini swala dogo kama hili linaumiza vijana wetu kwa kiasi hiki? Sasa hivi hawa wanaosubiri hizi code hawana amani kwa kuwa hakuna chochote kutoka huko TCU cha kuwatia hata moyo. Hapo ofisini kila mtu na kitengo chake yupo, mkurugenzi wa TCU yupo, wasaidizi wake wapo, wizara ipo, waziri yupo sasa kwanini haya yote.......sometimes JPM Hakoseagi anapoamka nao na kulala nao mbele!
 
Hivi ni kwa nini swala dogo kama hili linaumiza vijana wetu kwa kiasi hiki? Sasa hivi hawa wanaosubiri hizi code hawana amani kwa kuwa hakuna chochote kutoka huko TCU cha kuwatia hata moyo. Hapo ofisini kila mtu na kitengo chake yupo, mkurugenzi wa TCU yupo, wasaidizi wake wapo, wizara ipo, waziri yupo sasa kwanini haya yote.......sometimes JPM Hakoseagi anapoamka nao na kulala nao mbele!
Yani mkuu waache tu,huko maofisini wamerelax tu wakati huku madogo wanahangahika tu,wasengerema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Mi mwenyew nasubiria code bado hawajanitumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, samahani kama nitakuwa nauliza swali ambalo limeshajibiwa huko nyuma. Ni hivi, kama jina halipo kwenye haya majina, basi inawezekana muhusika, kachaguliwa chuo kimoja, au hajachaguliwa kabisa. Sasa nitajuaje kwa hayo mambo mawili?
Nenda internet cafe ukacheki Kila chuo majina yawaliochaguliwa.
 
Back
Top Bottom