Answaar Mubaarak
Member
- Sep 3, 2018
- 22
- 3
kuna kipengele cha kuweka code?au una unaconfirm tu bila kuweka code?Wakuu, tangu asubuhi saa 2 nahangaika hadi muda huu kuthibitisha UDSM lakini inakataa kabisa.
Nikifungua sehemu zote inakubali lakini kwenye kuthibitisha ndio inagoma kabisa.
Kuna tatizo gani wakuu? Kwa ambao mumefanikiwa tuelezeni namna ya kufanya