Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Hivi wenye multiple selections UDSM watajuaje program waliochaguliwa? Au una confirm chuo bila kujua program. Nilitegemea chuo chetu KIKUBWA kiwe kimetoa majina na program mtu aliyochaguliwa kama wenzao wa UDOM, Mzumbe, na SUA. Au nacho kinakuwa "CHUO CHA KATA?" LoL
Mbona wameshatoa
 
Hizo code ndio zinahusika nanini?


kuanzia leo ieleweke kwamba "Tecno sio Simu"
 
Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Unaweza kuwapigia chuoni kupitia namba za simu walizoweka kwenye mfumo na uwaulize katika mazingira haya ufanyeje. Binafsi namsaidia dogo ambaye bado yuko JKT pamoja na kupata code lakini ilinisumbua sana kuja kukubali. Nimejaribu toka saa tatu usiku jana nilipopata code na imekuja kukubali leo saa nane mchana. Nilikuwa nimepanga kuconfirm chuoni kwa email na nakala kupeleka TCUna huo ungekuwa ni ushahidi wangu kama nafasi ya dogo ingefutwa kwa tatizo la kutokuconfirm. Ni shida!!!
 
Hivi wakuu kuna yeyote yule ambaye tayari kapata code na tayari amefanikisha kuthibitisha chuo anachokitaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeconfirm kwa dogo anayekwenda St Johns, japo imesumbua sana toka jana saa tatu nilipopata code na nikaanzisha uzi huu, lakini imekuja kukubali leo saa nane za mchana.
 
Hizo code ndio zinahusika nanini?


kuanzia leo ieleweke kwamba "Tecno sio Simu"
Hizo code zinahusika na kuthibitisha kuwa umeikubali kozi na chuo walichokuchagua. Code hii unayo peke yako kwa hiyo hakuna chuo wanachoweza kukusingizia kuwa umethibitisha kwao kama ilivyokuwa mwaka jana.
 
Hizo code zinahusika na kuthibitisha kuwa umeikubali kozi na chuo walichokuchagua. Code hii unayo peke yako kwa hiyo hakuna chuo wanachoweza kukusingizia kuwa umethibitisha kwao kama ilivyokuwa mwaka jana.
Aisee basi mambo yamebadilika sana.
Enzi zile hapakua na codes
Ukichaguliwa tcu ndo wanatoa majina, yaani orodha inakua na majina yote na mbele ya jina lako kuna kua na jina la chuo ulichochaguliwa, kozi na kiwango cha pesa ulichokopeshwa na Heslb

kuanzia leo ieleweke kwamba "Tecno sio Simu"
 
Unaweza kuwapigia chuoni kupitia namba za simu walizoweka kwenye mfumo na uwaulize katika mazingira haya ufanyeje. Binafsi namsaidia dogo ambaye bado yuko JKT pamoja na kupata code lakini ilinisumbua sana kuja kukubali. Nimejaribu toka saa tatu usiku jana nilipopata code na imekuja kukubali leo saa nane mchana. Nilikuwa nimepanga kuconfirm chuoni kwa email na nakala kupeleka TCUna huo ungekuwa ni ushahidi wangu kama nafasi ya dogo ingefutwa kwa tatizo la kutokuconfirm. Ni shida!!!
mkuu na case ya code kukataa toka asubuhi embu nipate experience umefanikiwaje maana code ninayo toka jana ila inagoma.
 
Msa
Mimi nimeconfirm kwa dogo anayekwenda St Johns, japo imesumbua sana toka jana saa tatu nilipopata code na nikaanzisha uzi huu, lakini imekuja kukubali leo saa nane za mchana.
Msaada kiongozi umepata ujumbe gani maana sielewi apa
 
mbna codes znakuwa hazina maana tena kwa udsm,maana hakuna sehem ya kuingiza code,kuna sehem ya ku-confirm tu...

embu angalieni account yangu hii apo attachment nmeiscreen shot
 

Attachments

  • Screenshot (11).png
    Screenshot (11).png
    44.3 KB · Views: 31
mbna codes znakuwa hazina maana tena kwa udsm,maana hakuna sehem ya kuingiza code,kuna sehem ya ku-confirm tu...

embu angalieni account yangu hii apo attachment nmeiscreen shot
mkuu hongera wengine codes zipo ila zimegoma comfirmation
 
Back
Top Bottom