Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Hatimaye TCU wameanza kuachia code

Wakuu, samahani kama nitakuwa nauliza swali ambalo limeshajibiwa huko nyuma. Ni hivi, kama jina halipo kwenye haya majina, basi inawezekana muhusika, kachaguliwa chuo kimoja, au hajachaguliwa kabisa. Sasa nitajuaje kwa hayo mambo mawili?
 
Wakuu, samahani kama nitakuwa nauliza swali ambalo limeshajibiwa huko nyuma. Ni hivi, kama jina halipo kwenye haya majina, basi inawezekana muhusika, kachaguliwa chuo kimoja, au hajachaguliwa kabisa. Sasa nitajuaje kwa hayo mambo mawili?
Kujua ni mpaka hapo vyuo ulivyoomba vitatoa majina ya waliochaguliwa raundi ya kwanza baada ya zoezi la kuconfirm kukamilika. Ila vyuo vingine tayari vimeshatoa majina ya wenye multiple allocation na wenye allocation moja tu.
 
Dogo alipopata code akafurahi sana, lakini tatizo lingine likajitokeza. Profile haifunguki!!! Ngoma imelala mpaka asubuhi 04/09/2018 ndo aanze tena kujaribu. Amejaribu kwa masaa 4!!!!
 
haa haa bongo kila kitu ni mpambano.nina waswas na aliyebuni program hii ya code hakuifanyia test ya kutosha. any way let us wait..
 
Kujua ni mpaka hapo vyuo ulivyoomba vitatoa majina ya waliochaguliwa raundi ya kwanza baada ya zoezi la kuconfirm kukamilika. Ila vyuo vingine tayari vimeshatoa majina ya wenye multiple allocation na wenye allocation moja tu.
Nakushukuru!
 
Wakuu, samahani kama nitakuwa nauliza swali ambalo limeshajibiwa huko nyuma. Ni hivi, kama jina halipo kwenye haya majina, basi inawezekana muhusika, kachaguliwa chuo kimoja, au hajachaguliwa kabisa. Sasa nitajuaje kwa hayo mambo mawili?
Utajua pindi vyuo husika ulivyoapply vikitoa majina yake ya waliowachagua na TCU ikija kutoa final applicants walioselectiwa first round kabla ya trh 6
 
Hivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
 
Back
Top Bottom