Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,562
Bado sijapata taarifa mkuu.Nasikia wameongeza siku eti ni kweli?
Kwa usumbufu huu lazima waongeze siku aisee
Bado sijapata taarifa mkuu.Nasikia wameongeza siku eti ni kweli?
Yaan ni shida hadi nahic ndoto ya kuingia udsm yakataBado sijapata taarifa mkuu.
Kwa usumbufu huu lazima waongeze siku aisee
Nilitegemea vyuo vyote vinafuata mchakato ulio wekwa, sasa kama wao una confirm bila kutumia code imekuwaje? Karibu vyuo vyote vimetoa orodha ya waliochaguliwa (single na multiple) lakini UDSM sioni kitu yaani mnamalizana ndani kwa ndani. Naona hawataki tujue nani wamechaguliwa huko au nani ameconfirm huko.hata ww umeona mkuu?udsm codes hazitumiki
Nilijitia kiherehere cha kimfanyia dogo Application sasa najuta, tangu asubuhi nahangaika tu kuthibitisha halafu inakataa.Yaan ni shida hadi nahic ndoto ya kuingia udsm yakata
No balaa ila sikati tamaa nasubiri udsm ipo damuniNilijitia kiherehere cha kimfanyia dogo Application sasa najuta, tangu asubuhi nahangaika tu kuthibitisha halafu inakataa.
UDSM chuo kikubwa namna lakini wanafanya mambo ya hovyo.
Ngoja nikomae nimthibitishie dogo akaione ardhi UDSM hukoNo balaa ila sikati tamaa nasubiri udsm ipo damuni
HahahNgoja nikomae nimthibitishie dogo akaione ardhi UDSM huko
nilikuwepo TCU Leo kufatilia mambo ya uncle wangu jamaa amenambia mwisho ni kesho saa 6 kasoro 1 usiku..wanavyodai eti kila muombaji ameshatumiwa code eti maswala ya mitandao tu ndo yanazinguaNgoja nikomae nimthibitishie dogo akaione ardhi UDSM huko
Nimechoka kuhangaika kwa sasa nimeacha kwanza, nitawaibukia usiku wa manane nione kama itazingua tena.nilikuwepo TCU Leo kufatilia mambo ya uncle wangu jamaa amenambia mwisho ni kesho saa 6 kasoro 1 usiku..wanavyodai eti kila muombaji ameshatumiwa code eti maswala ya mitandao tu ndo yanazingua
UDSM kwenye orodha waliyo toa leo wanasema mwisho wa ku -confirm ni September 10, 2018.Nimechoka kuhangaika kwa sasa nimeacha kwanza, nitawaibukia usiku wa manane nione kama itazingua tena.
Hadi leo asubuhi kuna wapo walikuwa wanasema hawakapata Codes, kama wametumiwa leo hapo afadhali maana wengine walianza kukata tamaa.
Utaratibu wote unataka uconfirm kwa code. Bila hivyo TCU haitatambua confirmation yako. Labda kama huo utaratibu watauacha kwa sababu ya changamoto iliyotokea kwa wengi.ndio
skuombwa code kaka,nmepewa option ya ku-confirm tu......
ila kw vyuo vingne option hio ya code ipo
Ni suala la kumwomba Mungu na kurudia rudia mara nyingi bila kukata tamaa. Lakini pia kuna herufi tata kama vile "capital ai" I na small "letter el" l Hizi zikiwemo kwenye code si rahisi kuzitofaitisha. Njia salama hapo ni kucopy code na kuipaste panapotakiwa.Wakuu, tangu asubuhi saa 2 nahangaika hadi muda huu kuthibitisha UDSM lakini inakataa kabisa.
Nikifungua sehemu zote inakubali lakini kwenye kuthibitisha ndio inagoma kabisa.
Kuna tatizo gani wakuu? Kwa ambao mumefanikiwa tuelezeni namna ya kufanya
mkuu, mimi nime confirm usiku wa manane haijakubali. kuna yeyote yule aliye confirm ikamkubalia?Nimechoka kuhangaika kwa sasa nimeacha kwanza, nitawaibukia usiku wa manane nione kama itazingua tena.
Hadi leo asubuhi kuna wapo walikuwa wanasema hawakapata Codes, kama wametumiwa leo hapo afadhali maana wengine walianza kukata tamaa.
Aise na Mimi cjapata hizo code mpaka leoHivi ni mimi tu ndo sijapata hizo codes mpaka sasa hivi ama kuna wenzangu?
Tujuane ambao mpaka sasa tunasubiria hizo codes na tuone tunapataje ufumbuzi maana leo ndo mwisho, kama ni kuwanunulia vocha TCU tuwanunulie tu ili waweze kutuma hizo msg za codes maana inaonekana vyuma vimekaza kwa upande wao mpaka wameshindwa kuunga "yunivasiti promosheni" watume "kodi"
Duuuuhhhmkuu, mimi nime confirm usiku wa manane haijakubali. kuna yeyote yule aliye confirm ikamkubalia?