Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Hata kina chemical ally walikuwa wanatoa kauli kama hizi, ila siku ilipofika kila mmoja alijua ukweli
 
Watanzania tujifunze kutii sheria, kukosoa inaruhusiwa ila sasa huo uhuru mliopewa mnautumia vibaya...

Haiwezekani, mkosoe kwa lugha ya maneno makali, hapo sheria lazma ifuate mkondo wake...

Hata kwa Kabendera ilikuwa hivi mwisho wa siku yeye na familia yake wanateseka zile free erick kabendera zimepotea, hata kwa tito itakuwa hivi hivi hiki kikombe atakinywa yeye na familia yake...

Mungu ibariki Tanzania...

Mungu mubariki Mh. Dkt John Pombe Magufuli...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli za mtoto wa kikopo hujulikana wazi ,hakika wewe ni mtoto wa kikopo
Mleta mada kama mama ako(mwanamke jasiri),angekua moga kama ulivo joga wewe nawaliokutuma,asingerudia kushika mimba nyingine ili akakusukume labour room... ...hebu acheni kusifia huu uchuro wadola iliyoshindwa.huna adabu mwehu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa yaani. Yaani yakikukuta unahangaika kivyako. Hakuna alie nyuma yako. Wanakusupport nyuma ya internet.
Kwa hiyo.unataka.wale wanaofanya kazi kwenye taasisi.mfano LHRC wasifanye kazi yao kwa sababu watatekwa, kuteswa au hata kuuawa!? Au waandishi wasiandike habari fulani kwa sababu nao yatawakuta hayo hayo? Wamiliki wa mitandao mfano jamiiforums wafunge mitandao yao au kuchuja maoni ya watumiaji ili yasiwakute hayo. Au pale unapoona uovu hata kama huna nguvu za kuuzuia japo kuukemea ushindwe!? Wanajeshi nao waachane na kazi kwa sababu watatoka.kafara vitani!?
 
..serikali na dola zinaundwa na watu.

..na wamekabidhiwa nyenzo wazitumie ktk kutenda kazi zao.

..sasa siyo vizuri kutumia nafasi mlizopewa kuonea na kuumiza wenzenu.
Nani kaumizwa? Si walitaka apelekwe mahakamani?
 
Kauli za mtoto wa kikopo hujulikana wazi ,hakika wewe ni mtoto wa kikopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hawa wameishachanganyikiwa na maisha..

Penye ukweli lazma pasemwe, vijana wanatafuta ujiko huko mitandaoni lakni mwisho wa siku wanaishia kuwapa tabu wazazi na ndugu zao...

Refer mama kabendera alilia mbele ya camera kwa ajili ya mtoto wake, ila hakujua mtoto wake ni mchochezi..

Niwaase tu vijana wajifunze kutumia mitandao ya jamii vizuri, isitoshe huko kwenye mitandao especially twitter ni % chache tu ya watanzania wako huko, sasa uwo umaarufu wanaoutafuta sijajua unawanufaisha vipi zaidi ya kutesa familia zao...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hawa wameishachanganyikiwa na maisha..

Penye ukweli lazma pasemwe, vijana wanatafuta ujiko huko mitandaoni lakni mwisho wa siku wanaishia kuwapa tabu wazazi na ndugu zao...

Refer mama kabendera alilia mbele ya camera kwa ajili ya mtoto wake, ila hakujua mtoto wake ni mchochezi..

Niwaase tu vijana wajifunze kutumia mitandao ya jamii vizuri, isitoshe huko kwenye mitandao especially twitter ni % chache tu ya watanzania wako huko, sasa uwo umaarufu wanaoutafuta sijajua unawanufaisha vipi zaidi ya kutesa familia zao...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaotesa familia.za watu ni hao madhalimu wanaowatupa wenzao magerezani. Kwa hiyo wewe umekuwa.mahakama na hukumu umetoa.tayari. Kama.Kabendera mchochezi kama unavyodai, kwa nini asipewe shitaka la uchochezi!? Kama huu si udhalimu ni nini!? Honestly huu uchafu ungebaki nao tu kuliko kuja kuumwaga hapa mzalendo uchwara wewe.
 
Correct
Achana na hawa wameishachanganyikiwa na maisha..

Penye ukweli lazma pasemwe, vijana wanatafuta ujiko huko mitandaoni lakni mwisho wa siku wanaishia kuwapa tabu wazazi na ndugu zao...

Refer mama kabendera alilia mbele ya camera kwa ajili ya mtoto wake, ila hakujua mtoto wake ni mchochezi..

Niwaase tu vijana wajifunze kutumia mitandao ya jamii vizuri, isitoshe huko kwenye mitandao especially twitter ni % chache tu ya watanzania wako huko, sasa uwo umaarufu wanaoutafuta sijajua unawanufaisha vipi zaidi ya kutesa familia zao...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleweka vyema kwa apendae kujifunza
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaotesa familia.za watu ni hao madhalimu wanaowatupa wenzao magerezani. Kwa hiyo wewe umekuwa.mahakama na hukumu umetoa.tayari. Kama.Kabendera mchochezi kama unavyodai, kwa nini asipewe shitaka la uchochezi!? Kama huu si udhalimu ni nini!?
Makosa yake hayana dhamana ndio maana hadi sasa yupo gerezani, tuwe wapole tuache mahakama ifanye kazi yake...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ni mjinga sana ! hivi mwisho wa madikteta wote huujui au unajisahaulisha ? mmeshindwa hoja sasa mmeamua kuwabambika vijana kesi za kizushi , nakuhakikishia kwamba hata nyie wabambikaji hamko salama hata chembe , what goes around comes around.

Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
tatizo lenu hamtendi haki, mnataka msifiwe tuu...Yesu mwenyewe anakosolewa itakuwa ninyi wanadamu?!.

Tufanyeni muwezavyo, Karma Law itafanya kazi baadae...malipo ni hapa hapa duniani!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wajipendekeze,sumu haijalibiwi kwa kuonjwa,kama mjumbe kazi yako umemaliza
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom