Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Umasiki ni fikra za Mtu mwenyewe kuanzia vipaumbele vyake, Serikali kazi yake ni kuweka USAWA na ndio kitu Awamu ya tano inakifanya ikiongozwa na namba moja JPM tafadhali makofi kwake ya pongezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini ni mchakato utokanao na sera mbovu.Serikali makini hazikomoi watu wake
 
Uko sahihi, je bado unaamini kuna mahakama za kutenda haki ambayo serikali itakuwa muhanga? Labda sio mahamaka hiz ambazo haki mkuu yuko kwenye msafara wa rais kuzindua visima vya maji.

Ukikataa kuvaa nguo eti kwa sababu zimechanika ili utembee uchi na unajua ni makosa basi ukubali kukamatwa kama kichaa au upigwe ili uvae kwa lazima, busala vaa kwanza kisha ulalamike ipo siku utasikika na ndo utakuwa ushindi wako, vinginevyo ni ukorofi tu.
 
"Kumpenda Mungu huku tukiwatesa na kuwadharau wanadamu wenzatu ni Ibada ya sanamu, na Mungu kamwe hawezi kuwa upande wetu, hata kama tunamuimba kila siku, na kula viapo kwa jina lake" - Askofu Bagonza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni pale 'wanaharakati' wanakuwa makada na makamanda vya vyama vya siasa. Jana nimeona tamko la kituo cha haki za binadamu kuhusu bwana Magoti limekaa kisiasa mwanzo mwisho. Serikali ina mkono mrefu na rais wa nchi ni taasisi, ukipambana na rais unapambana na taasisi, kuna watu wataamua juu yako bila maelekezo toka kwa rais mwenyewe
 
Inawezekana pumzi imekata kweli. Maana hata taarifa za mapato makubwa ya kupitiliza ya TRA ya kila mwezi hayatangazwi tena.. Ni wazi ng'ombe asiyelishwa vyema kaishiwa maziwa.
 
Tatizo ni pale 'wanaharakati' wanakuwa makada na makamanda vya vyama vya siasa. Jana nimeona tamko la kituo cha haki za binadamu kuhusu bwana Magoti limekaa kisiasa mwanzo mwisho. Serikali ina mkono mrefu na rais wa nchi ni taasisi, ukipambana na rais unapambana na taasisi, kuna watu wataamua juu yako bila maelekezo toka kwa rais mwenyewe
Hiyo rais ni taasisi ni porojo tu. Rais anayeamua kila kitu anavyotaka yeye ndio taasisi hiyo. Labda taasisi ya nyumbani kwenu.
 
Unaongea utoto gani? Naona unajaribu kupandikiza uoga. Kama huna hoja sio lazima ianzishe uzi.

Unasema watu wakosoe kwa staha na maoni yao yatafanyiwa kazi.

Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi inadaiwa zaidi ya miaka 20 na bado hazijapatikana, je ni busara gani mnahitaji zaidi ya uvumilivu wote huo?
Jamaa anaandika utadhani nchi imezaliwa na mama yake bwana. Duh. Yaliyomo ni ya wote jamani. Tusijipe hati miliki kibabe. Yana mwisho haya mbona....
 
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakubaliana ba wewe, hata mtume Paul alionya wakorintho dhidi ya kupambana na dola.
 
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa.Busara itumike ktk kushaur serikali.Matusi na dhihaka hazifai na zikiendelea WAPIGWE TU maana hakuna namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.

Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.

Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.

Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.

Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.

Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi ,hii ni imani yangu.

Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.

Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.

Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.

Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Mandela pia alinyooshwa na hizi dola unazojinadi nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere na wenzake wangekuwa na mawazo kama haya Tanganyika ingechelewa kupata Uhuru.
Kila binadamu anahaki ya kuhoji na kutoa maoni kwa mjibu wa sheria.
Na ukikubali kuwa kiongozi kubali kukosolewa kwa namna moja ama nyingine, kwasababu huwezi kulidhisha kila laia.
Kukataa kukosolewa kuna dumaza mawazo ya vijana, maana wanakuwa na wasi wasi hata wakitaka kufanya vitu vya msingi na vya maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom