Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

Utter Non Sense ,Serikali lazima idondoee Pua,Kesi za Kubumbabumba eti anamiliki computer app yenye lengo la kufanya uharifu,kujipatia 17m kwa kuuza hiyo app!! Kwanza tunaibadili hiyo kesi na kuwa ya Cyber Crime na sio uhujumu uchumi.
Yaani ANKO na GENGE lake la WAHUNI kina BASHITE na MALAGA wanakamata watu wasio na hatia kisa kumtafuta Kigogo2014,Wamewateka watu karibia 15+ na kuwaweka on hold zaidi ya siku 3 wakidhani ndio Kigogo2014 lakini ,Kigogo2014 anazidi kupost tu Twitter 24/7 wakiona sio wao ndio wanawabambikia kesi ambazo hazina kichwa wala mguu.

Kange Lugola anachoshindwa kujua kwamba Kigogo2014 sio mtu ni Mzimu wa watu waliowaua bila hatia.
 
Rudia kusoma thread upya,nimekwambia hiyo sio excuse,jifunzeni adabu kwa wakubwa mtafanikiwa maishani mwenu

Sent using Jamii Forums mobile app

hakuna adabu ya lazima. na wala uoga siyo adabu. msisahau kuwa kila chenye pumzi kitaonja mauti. madaraka yasiwajaze ujinga. hata mkiwatesa na kuwatanguliza wanyonge nanyi saa yenu ikifika mtateseka na kutangulia.
 
mkimaliza mmoja tutazaliwa kumi
msitegemee kuwa mtatumaliza
hata saddam alitawala miaka 30 akiwaua na kuwafunga wapinzani ila hawakuisha had mwisho wake
 
mkimaliza mmoja tutazaliwa kumi
msitegemee kuwa mtatumaliza
hata saddam alitawala miaka 30 akiwaua na kuwafunga wapinzani ila hawakuisha had mwisho wake
Sadam na Gadafi na Omar Al Bashir walimu tosha. siku watayakumbuka maneno ya Mzee Kikwete ‘kujimwambafai’.
 
Sadam na Gadafi na Omar Al Bashir walimu tosha. siku watayakumbuka maneno ya Mzee Kikwete ‘kujimwambafai’.
Labda Albashir
Saddam
na Gadafi miili yao imeshaozeshwa na udongo
 
Hata yeye alikuwa anafanya HARAKATI zake nyuma ya Internet kwani aliandamana?
na kwanini serikali ione kuikosoa ni KUHUJUMU UCHUMI?
kukosoa ni kosa?ni tusi?
Kwanini wakasirike?
wao sio malaikaaa
Na kuwa na nguvu isiwe sababu YA KUWATESA WENZIO

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti yako na yeye ni kuwa yeye alifanya harakati zake kwa kutumia real ID.Tusiseme tunamuunga mkono huku sisi tunatumia fake ID. Kama kweli sisi tunachukizwa na udhalimu hebu tuungane majority wote tujitokeze kwa real ID's otherwise sisi ni wanafki tu.
 
Mbona wewe ni mwaccm tena damudamu
Hapana mimi ni Mtanzania Mtanzania damu damu na siongonzwi na ideas za chama chochote cha siasa. Sema labda some of my ideas zaweza fanana na chama chochote. Some zipo against kabisa na hizo zilizomo kwenye vyama vya siasa.
 
Tanzania,public tunaigopa serikali na ndo maana humu tunatumia fake ID's.
kwa sababu public nyingi za kiafrica hurumika kwenye uchaguzi kama maboya tu. wenye mamlaka wanaamini mbinu haraku za wizi wa kura na dhulma zingine huwasaidia kuingia madarakani. that way wanapata namna ya ku create a state of fear among wananchi.
 
Hapana mimi ni Mtanzania Mtanzania damu damu na siongonzwi na ideas za chama chochote cha siasa. Sema labda some of my ideas zaweza fanana na chama chochote. Some zipo against kabisa na hizo zilizomo kwenye vyama vya siasa.
Kabla ya Utanzania kuna ubinadamu. Unaamini katika Utanzania.kabla ya Ubinadamu!?
 
Mtaendelea Kuwa makondoo hivyo hivyo . Na ndio tatizo lenu watanzania . You guys are too goigoi with unbelievable inferiority ..
Mimi huwa nasema kama we mtu huna tabia ya kudefend haki zako basi hufai kuitwa binadamu . We ni the walking dead

Sent using Jamii Forums mobile app
siwezi kukubali kuwa daraja hata siku moja.nitasimama kupigania haki yangu pale ninapoona chakula changu kinapokonywa.habari za kuropoka ropoka na kujidai mjuaji huku nikisifiwa na wanasiasa,yakinikuta na baki mimi na familia yangu kamwe siwezi kufanya.kabendera anateseka gerezani peke yake,familia yake inahangaika peke yao,wanasiasa waliokuwa wapo nyuma yake wapo mbali saizi.
 
Unataka tufanye nini ndo ujue tunamuunga mkono?
Tuandamane?
Tufanye fujo?
Tupige polisi mawe?
AU kwako kumuunga mtu mkono tafsiri yake ni nini?
Tofauti yako na yeye ni kuwa yeye alifanya harakati zake kwa kutumia real ID.Tusiseme tunamuunga mkono huku sisi tunatumia fake ID. Kama kweli sisi tunachukizwa na udhalimu hebu tuungane majority wote tujitokeze kwa real ID's otherwise sisi ni wanafki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom