Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa,Hivi Pakistani ipo Ulaya au America ya Kusini?
Pakistan siyo waarabu. Wana asili ya wahindi.Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Vipi kama mama yako ndio mtu wa huko??Hili kabila linasemwa kwamba lina asili ya wayahudi.
Wana sheria kali sana kwamba utaitwa m-pashtun pale tu baba yako akiwa ametokea kwenye kabila hilo na si vinginevyo.
Ni kabila linalopendwa sana na mataifa makubwa khasa Marekani.
Upo kama mm nataman sana kutembelea Afghanistan hasa ktk miji ya Kandahar, gelalabad ,dawlatabad na Harait,.mleta mada hongera kwa kufika pakistan.
mimi nina ndoto za kuwa adventurer na moja ya malengo yangu ni kutembelea mataifa ambayo si rafiki kiusalama kama syria, north korea, somalia, afghanistan, yemen, libya, central african republic nk.
Nianzishie uzi mkuu watu watakujibu wenyewe.Hahahaaaa,
Mkuu upo serious au utani?
Lakn tambua ya kwamba umechukua hizo picha katkat ya mji mkuu...
Awwww! .....kuzuri balaaa
Lakini ukisachi kwenye mitandao mji wa Islamabad unasifiwa kuwa uko planned na unavutia, ila dar yetu sijaona kwenye tovuti ukisifiwa na wageni ni sisi wenyeji ndio tunasifiaNIKIFIKA...
1. Morocco pale kwenye traffic light nitapiga picha uelekeo wa kuja Victoria.
2. Red Cross uelekeo wa traffic light za kwenda posta, nitapiga picha.
3. Kwenye boat za kwenda Zenji ikiwa inageuka nitapiga picha usawa wa majengo mapya ya TPA
4. Nitapiga picha nikitokea Ocean road jirani na hospital ya Agha Khan uelekeo wa Salender bridge
5. Mnazi mmoja pale kituo cha zamani za dala dala Rems kabla ya mataa nitapiga picha uelekeo wa jengo kwa Ushirika
6. Nasogea kama usawa wa shoplite zamani, napiga picha uelekeo wa mpingo house.
7. Nazunguka natokea RTD jengo jipya kabla ya mfugale bridge napiga picha
8. Natoka nje ya mji naelekea Kigamboni nautafuta mji flani hivi upo usawa wa bahari naomba kupiga picha majengo yaliyo pembezoni mwa bahari picha moja tu...
9. ...
10. ...
Baadae naanzisha uzi hapa kuwa "HILI NDILO JIJI SAFI KULIKO YOTE EAST AND CENTRAL AFRICA"
nb. Uchomoki.
Ravalomanana
Dar haina mazingira Kama haya, dar inamajengo ya kisasa lakini mazingira badoNIKIFIKA...
1. Morocco pale kwenye traffic light nitapiga picha uelekeo wa kuja Victoria.
2. Red Cross uelekeo wa traffic light za kwenda posta, nitapiga picha.
3. Kwenye boat za kwenda Zenji ikiwa inageuka nitapiga picha usawa wa majengo mapya ya TPA
4. Nitapiga picha nikitokea Ocean road jirani na hospital ya Agha Khan uelekeo wa Salender bridge
5. Mnazi mmoja pale kituo cha zamani za dala dala Rems kabla ya mataa nitapiga picha uelekeo wa jengo kwa Ushirika
6. Nasogea kama usawa wa shoplite zamani, napiga picha uelekeo wa mpingo house.
7. Nazunguka natokea RTD jengo jipya kabla ya mfugale bridge napiga picha
8. Natoka nje ya mji naelekea Kigamboni nautafuta mji flani hivi upo usawa wa bahari naomba kupiga picha majengo yaliyo pembezoni mwa bahari picha moja tu...
9. ...
10. ...
Baadae naanzisha uzi hapa kuwa "HILI NDILO JIJI SAFI KULIKO YOTE EAST AND CENTRAL AFRICA"
nb. Uchomoki.
Ravalomanana
Kwasababu gani wanapendwa?Hili kabila linasemwa kwamba lina asili ya wayahudi.
Wana sheria kali sana kwamba utaitwa m-pashtun pale tu baba yako akiwa ametokea kwenye kabila hilo na si vinginevyo.
Ni kabila linalopendwa sana na mataifa makubwa khasa Marekani.
Unasema uki..searchLakini ukisachi kwenye mitandao mji wa Islamabad unasifiwa kuwa uko planned na unavutia, ila dar yetu sijaona kwenye tovuti ukisifiwa na wageni ni sisi wenyeji ndio tunasifia
MAMBO YA MAZINGIRA MAZURI HAINA TIJA SANA KWA PICHA.Dar haina mazingira Kama haya, dar inamajengo ya kisasa lakini mazingira bado
Pakistan jamii ya maponjolo or mithun chakarabotMasaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Njoo PMBiashara zile vp bado zipo?
Wapakistani ni kama wahindi tuMasaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Hebu kwa serious mkuu!! Tafuta hata kabango kameandikwa kiarabu/kihindi upige nako picha angalau uongo wako wachache wauamini