MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,536
- 21,848
Urudi salama, isijekuwa umeenda kuwekwa/kuweka mtu bond.
Hahahaa!! Naelewa unachokisemaKwa hovyo sana, nilikaa hapo miezi tisa, yaani hovyo zaidi ya hovyo
Vizuri,Cha muhimu uwe na mwenyejimleta mada hongera kwa kufika pakistan.
mimi nina ndoto za kuwa adventurer na moja ya malengo yangu ni kutembelea mataifa ambayo si rafiki kiusalama kama syria, north korea, somalia, afghanistan, yemen, libya, central african republic nk.
Kwani mpaka nikujue ndo nikumiss? Nimekumiss mpaka naumwaAfter 3 weeks,unanimiss unajua Mimi Ni Nani?
Hongera zakoKwani mpaka nikujue ndo nikumiss? Nimekumiss mpaka naumwa
Sina wa kunichombeza rafiki!.....Hivi kwa nini ulinikataa lakini na chura lako lote hilo??Mzee wa chura hujalala?
Umefikia wapi au mji gani mkuu?Ntahakikisha nafika maana nipo hapa kwa muda wa week 3
Sina chura bna.halafu huna hela wewe ngoja nikipata hela nitakutafutaSina wa kunichombeza rafiki!.....Hivi kwa nini ulinikataa lakini na chura lako lote hilo??
Halafu viwanda vyote vyenye cheap labour vipo huko.Bangladesh?? Hakuna nchi mbaya, chafu, na iliyo nyuma kama bangladesh, yaa Tz imeipita mara 1000
Umejuaje sina hela mkuu?halafu wewe ukipata hela unitafute mimi au mimi nikipata hela ndiyo nikutafute wewe??!....rekebisha kauli!Sina chura bna.halafu huna hela wewe ngoja nikipata hela nitakutafuta
LahoreUmefikia wapi au mji gani mkuu?
Najua huna hela maana hujawai kunipa.Umejuaje sina hela mkuu?halafu wewe ukipata hela unitafute mimi au mimi nikipata hela ndiyo nikutafute wewe??!....rekebisha kauli!
Mara ya mwisho kusoma dira au ramani ni lini mkuu?Lahore
Sawa, mtoto wako akishakua anaefuata naomba niweke mimi please!Najua huna hela maana hujawai kunipa.
Mimi ndo nitakutafuta siku hizi napiga michakato ya hela mjini hapa? By next year June nitakuoa wewe kibenten
Halafu huko si kwa waarabu umechanganya madawa kiongoziMasaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Mimi nazaa Na washua wewe? Bao moja m 50 Na duka kariakoo .wewe utaweza?Sawa, mtoto wako akishakua anaefuata naomba niweke mimi please!