Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Pakistan ni uarabuni? Au umeona maandishi ya kiurdu unajua kiarabu
 
Masaa kadhaa yaliyopita nimewasili hapa Pakistan,asikwambie mtu hakuna maendeleo,barabara mbovu, mazingira machafu ,Kuna mama ntilie wa kiarabu Kila Kona, mazingira ya migahawa machafu,Hawa waarabu wanaishi Bongo, huku kwao Ni maskini vibaya mno, tayari nimekutana na mwenyeji wangu,taarifa na picha zaidi zinakuja..
Hebu kwa serious mkuu!! Tafuta hata kabango kameandikwa kiarabu/kihindi upige nako picha angalau uongo wako wachache wauamini
 
Hahahaha mkuu uwe unapita kule intelligence mara moja moja, hakuna terrorist attack iliyowahi kuongozwa na christians duniani, unadhani trump kupiga biti waislamu nchini kwake ilikua coincident?
Hahaaa akili ndogo kwenye ubora wenu, jaribuni kuuhangaisha ubongo hata kdg mjue kuna nn kwenye huo mkakati wa ugaidi, sio mnajazwa mavi na wazungu kwenye bongo zenu mnakuja kuropoka harufu za chooni tu hapa
 
MAMA NTILIE WAARABU ?? KWELI WEWE MUAFRICA MUONGO SANA NAONA HUJAFIKA PAKISTAN . PAKISTAN SIO NCHI YA WAARABU NA WALA HAWAISHI WAARABU NA WALA LUGHA HAWATUMII YA KIARABU NA PAKISTAN HAWAJUI KIARABU . PAKISTAN NI ASILI YA KIHINDI NA LUGHA YAO NI MOJA NA INDIA
Kwenye lugha hapo hawa tumii kihindi
 
Nikuletee kifungu Cha Quran kinachosema hayo?? Chagua nilete hapa mbele ya watu au nikuletee PM
Usijaribu kuukimbia ujinga uliouweka hapa,Pakistani wana andika lugha ya ki urdu na maandishi yao kama ya kiarabu,sasa wewe darasa la pili unusu ukakurupuka tu na kuleta story humu eti hao ni waarabu! hii ni jf ukileta poroja utawekwa sawa tu,bora urudi huko fesibuku ukaendelee kulike mitindo ya nywele na madela.
 
Hahaaa!!! Mbwa wewe!! Nina hela nakulisha wewe ,baba ako,mama yako.shangazi yako,Bibi yako mke wako nawajengea na nyumba ikiwezekana nawapiga na mbupu kabisa mbwa wewe
Huu uandishi tu unaonekana wewe nikapuku hohe hahe! ndio maana umeandika kwa hasira coz naona dawa imekuingia kisawa sawa,ungekua mzoefu wa safari usingekurupuka kuleta hiki kithread huku,kwahiyo kila anayesafiri afungue uzi jf? jitafakari wewe acha maisha ya maigizo,mimi sina haja ya kujisifu kwako eti nina hela coz wenye hela hua hawajisifu wala hawajitangazi,endelea tu kusubiri ugali wa shikamoo hapo kwa shemeji yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom