Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

Nimewahi kuuliza iweje hawa wamba wanatuzidi kiuchumi na wanamiliki viwanda vya kufa mtu, na nyuklia na dhana za kisasa za kivita?
 
Nimewahi kuuliza iweje hawa wamba wanatuzidi kiuchumi na wanamiliki viwanda vya kufa mtu, na nyuklia na dhana za kisasa za kivita?
Wana vichwa vyepesi vya ubunifu.
Kule vitu kama bunduki mfano wa SMG zinatengenezwa mitaani majumbani na kila mtu ana silaha yake nyumbani hadi watoto wadogo wa miaka 10 na wenyewe wanamiliki silaha.
Hata kwenye sherehe kama za harusi utakuta wote wameshika silaha wanapiga risasi juu.
 
Wana vichwa vyepesi vya ubunifu.
Kule vitu kama bunduki mfano wa SMG zinatengenezwa mitaani majumbani na kila mtu ana silaha yake nyumbani hadi watoto wadogo wa miaka 10 na wenyewe wanamiliki silaha.
Hata kwenye sherehe kama za harusi utakuta wote wameshika silaha wanapiga risasi juu.
Sio jibu Hilo jibu ni kuwa Sheria na kanuni za kila TAIFA zimetofautiana mfano Tz ukikutwa na Gobore ni kesi au silaha yeyote mpaka upimwe akili na kamati ya ulinzi na Usalama ya wilaya ilizie upewe silaha + mali unayomiliki izidi MILION 32
 
Vita imewamaliza
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    64.8 KB · Views: 7
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    54.4 KB · Views: 7
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    51.8 KB · Views: 8
Sio jibu Hilo jibu ni kuwa Sheria na kanuni za kila TAIFA zimetofautiana mfano Tz ukikutwa na Gobore ni kesi au silaha yeyote mpaka upimwe akili na kamati ya ulinzi na Usalama ya wilaya ilizie upewe silaha + mali unayomiliki izidi MILION 32
Hata kule sio kwamba serikali imeruhusu kumiliki silaha kienyeji ila ni vichwa ngumu tu,wanapeana kienyeji tu mitaani japo wapo pia wanaomiliki kihalali.
Ni kama Sudan pia kwenye kila nyumba na familia lazima kuwe na watu wenye silaha
 
Kuna bar na sehemu za starehe huko?
Je wadada utamu wanavaa kama hawa wa Kitambaa cheupe Sinza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom