The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,093
- 102,592
Sijamaanisha kwako,nimemlenga mleta mada coz ndio amesema jamaa yake bado hajatafuna tunda.Ok ila kipindi hicho nilikuwa sina mtu nikaamua nikitulize kwa mda mrefu.
Sijamaanisha kwako,nimemlenga mleta mada coz ndio amesema jamaa yake bado hajatafuna tunda.Ok ila kipindi hicho nilikuwa sina mtu nikaamua nikitulize kwa mda mrefu.
Hebu orodhesha nilivyokuibia!!
Wewe umeshindikana ahera na duniani.
Kuna mmoja huku Single and happy amejifungua mtoto wa Kike.Chriss Mauki anasema "Heri mahusiano yenye mgogoro kuliko kuwa single"
Hamna single and happy, hiyo ni uongo🤣🤣🤣
Yeah, thank you 💕😘kuwa makini tu there's no why wala when and how,nakutakia mapenzi mema asikudanganye mtu nimeandika hiyo komenti ni joke tu ila mapenzi ni raha sana have a good time with your nyamnyam,kama umelipata penzi litumie haswa kama unaweza kumpa raha mpe haswa!.
hiyo ndio pepo yetu hakuna pepo nyengine.. ila tu tumia akili.
Si huwa tunaiba vyenye value au🤷🤷🤷Zingatia tu hapo nataka kuibwa na wewe...
Hahaha😂😂😂Akishaiona tu ndio safar inaanzia hapo, maana tayar kwenye nindset yake anazo sample kadhaa za utamu so akichomeka anakua ana compare na ku contrast
- hii tamu kama ile?
- hii mnato kama ile??
- mbona huyu hawez kufinyia ndani?
- hii ina joto kama ile/zile?
- hii imetuna tuna ina mvuto kama ile?
- style hizi mbona za kilokole lokole?
Huyooooo..mbio!!
Asante sana mkuu KJ07 😂🙏Hongeraaa kwa kupata hitajio la moyo wako.
Nawaombea mapenzi yenu yafike mbali sana
Ila kama itakupendeza
KATAA NDOA.
Utani shukuru one day.
Uzuri wa jamiiforums
Mambo yakiwa good watu wanatuletea shuhuda na wakipigwa na vitu vizito, shuhuda vilevile zinakuwepo.
Goodluck Leejay49
Me nakuombea mema kabisa Ila hiyo Ni "just incase"Limeisha hilo😂,.. kwanini uniwazie kuachika🤨🧐😂