Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,069
- 184,796
😄 nina stress tu , ikawe heri kwenuMbona kwa hasira hivyo mkuu😂😂😂... Na hatuachani😂
Mpe kijana mapema ,ukichelewa watoto wataniita uncle au babu?Asap as God wishes..
Thank you rafiki🥰
Nilipita kwa bahati mbaya. Sasa narudi zangu msituni. ByeAmen🥰🥰.. But why umekuja 😂😂
Akili zikianza kurudi sasa ndio hivyo tena 😂😂😂 unaona dah! Sijui nilifeli wapi kumpa kipapa huyu mchimbachumvi😂Kikiisha ndo unaanza kumuona mwenzio ana matege🤣🤣🤣, mara ananuka mdomo....afu unakumbuka sub zako🤣🤣🤣 unaanza kuzitumia ishara zianze kupasha🤸🏿♀️
Kuna ile mmeambiana mengi mmesifiana plus expectations za hapa na pale mnakutana six kwa sita picha linaanza mkivua katika mia zinabaki 90 sema Kwa sababu ya genye unakaza, mdo mdo maandalizi mbwembwe zinapungua dend@ tu hadi meno yanacollide🤣 unaamua mambo yasiwe mengi unamuweka standby upige ohooo mikao haieleweki.....baada ya bao la kwanza score board inasoma 30%Una maanisha jamaa anaweza asiipende ladha ya ile kitu sio?
😀 😀
Iko siku namimi nitakuchapishia uzi wewe mrembo 😂Haha..!!
Na Mimi nakuombea umpate the Main One, na wewe ulete uzi hapa siku moja insha'Allah..!!
Sio huyo mkuu,, walau hayuko jf mkuu.. Anyways thanks 🥰🙏Ahaaaa....! Ni yule aliekushushia Uzi mrefu hapo juzi kati?. Kama ni yule mara hii umemuelewa sababu porojo za Adam kweli?. Sawa lakini kila la kheri. Uwe makini pia maana kama anajua mpaka kukuweka sawa kwa mawazo yako huyo mzoefu. Kama anataka kukupigia tukio hivi halafu asepe (No. just joking). Ila kama ana familia hivi?(hapana nakutania tu). Mpe tu
Inategemea wewe mwenyewe, unachopanda ndicho unachovunatrust me usimuamini sana binadam mwenzio kukubadilikia ni jambo la muda tu