Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Kwa nchi inayoishi ki-umatonya, kweli was it worth it kuiingia gharama zote hizo? ulinzi, usafiri wa ndege mpaka Arusha. And dont tell me serikali 'inasimamia' sheria maana for the last 6 years Kikwete amekuwa anafanya mazungumzo na wezi wa EPA! Huo ndio uvunjwaji wa sheria maana wezi wanatakiwa wawe keko.

Mkuu hapa kuna ukweli. Yaaani serikali inatumia gharama kubwa za kumlinda Mbowe na kumsafirisha kwa gharama kwenda Arusha tena chini ya ulinzi mkali ili hakimu akamuone usoni na kumruhusu kuendelea na dhamana yake? Mimi nilidhani kuna kitu kikuubwa kumbe ni hivyo, is there any value for money? Au ndio haki kutendeka na ionekane imetendeka? Haikuwa na mantiki yoyote kutumia kodi zetu kwa kumpeleka Arusha ili akaonane tu na hakimu
 
Kama imekuuma mbowe kuachiwa saga chupa unywe! Kafie mbele na magamba yenu, waoga wakubwa nyie, mmeshndwa kuwakamata mapacha wa3 mnakamata wasio na makosa! Mbowe alkuwa na silaha gan mpaka abebwe na helkopta ya jeshi, ulinzi wote ulkuwa na haja gani?? Mnafanya mambo ya kitoto afu hamjiamini. Aibu!!

Sasa ambae inaniuma ni mimi au wewe ? ww huoni maneno yako unayo yatoa yaonyesha kabisa kiongozi wako amedhalilishwa, hulioni hilo ?:majani7::majani7:
 
Ila debe kanyea.Sidhani kama siku nyingine atadharau mahakama. Ajue mahakama siyo chama cha siasa,ni muhimili wa dola. kwa mwandishi mwenye picha zake wakati amekamatwa nahisi alikuwa kama Kiza beseje alivokuwa siku ile M7 amfanyie kitu mbaya

Usitukane mamba kabla hujavuka mto. Hivi wewe unafikiri wanaonyea debe ni akina Mbowe tu? Unapotoa judgement ya namna hii lazima uhakikishe Mungu ni baba yako na kwamba you're very clean in all aspect of your life na kwamba hutakaa uingie pale. Kuna watu ambao hawakuwahi tegemea kuingia pale lakini waliingia mkuu. Rumande kunafana na hospitali ambapo hakukwepeki maadam unaishi miongoni mwa binadamu wenzako. Kuna kubambikiwa kesi , kuna wenzako kukuponza n.k. kwa hiyo usishangilie mwenzako anapoumia pls kuwa na ubinadamu.
 
Tuache ushabiki na umbumbumbu wa sheria za Nchi yenu Tanzania.

Nafikiri sasa mbowe na Chadema wamepata somo kuwa MSIDHARAU SHERI ZA NCHI na vile vile MSIDHARAU AMRI ZA MAHAKAMA.

Naomba utusaidie kwani sheria inasemaje kuhusu dhamana?

Kwa nini iwe Mbowe na chadema tu? Mbona watu wengi sana wanadharau sheria za nchi na wanadharau amri za mahakama? Wakioredheshwa ni wengi tu.

Tuache hayo, Naomba utuambie basi kosa alilofanya na kifungu cha sheria. Maana hili suali nauliza toka juzi hakuna anayejibu labda wewe utatusaidia?
 
Nimependa msimamo wa dr.SLAA, Mbowe asipoachiwa hamtatuona bungeni jumanne. Sasa govt.ikafikiria bila kuwa na hoja ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,kanuni hazitatimia. Pia wakaogopa na maandamano ya kumtoa nyoka pangoni. Hapo wakasarenda. Iyo ndo nguvu ya umma bwn!

Kwani mahakama inatishwa na mtu? Wamempa dhamana tu kesi tarehe 24 june alete tena ujinga wake kama hawekwa ndani tena
 
Ukiisha ikubali serikali na rais basi huna budi kuheshimu dola!!! LOL!

CDM walishaikataa hii serikali wanafanya nayo kazi tu kwa sababu ya wananchi lakini hawajaitambua na sasa ni dhahiri hakuna mantiki ya kutambua serikali ya kihuni.
 
Wananiudhi viongozi wetu "wapendwa" wanapovunja sheria wanazozifahamu vizuri kuliko sisi halafu wanasubiri huruma ya watu. Muda umepotea. Kodi zetu zimetumika vibaya. Tumeacha kufanya mambo ya maana. Wala hakuna tija katika hili.

umetumwa na ccm, akili yako ni sawa na kuku. Kodi zetu zimetumika vibaya kwa sababu ya ujinga wa mahawala zako ccm. Kwa fikra hizo utakuwa mjinga daima, akili yako haitapanuka na itaendelea kusinyaa. Hakimu alipata maelekezo ambayo yametughalimu sote. Kamlilie hakimu wa kimagamba.
 
Nimependa msimamo wa dr.SLAA, Mbowe asipoachiwa hamtatuona bungeni jumanne. Sasa govt.ikafikiria bila kuwa na hoja ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,kanuni hazitatimia. Pia wakaogopa na maandamano ya kumtoa nyoka pangoni. Hapo wakasarenda. Iyo ndo nguvu ya umma bwn!

Kama kawaida yenu ya kususa, kwani hata kama akiwepo hatobadilisha kitu kwenye bajeti ya serikali, yupo pale kuwakilisha tu. CCM wanayo two third ambayo hata wao wakikataa huoni kuwa bajeti itapita tu. Yeye ni kiongozi wa kawaida sana !
 
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!

muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!

guess what??

Ni afadhali kufia kile unachokiamini kuliko kuishi bila kuamini chochote.
 
Ghara za helcopter ya jeshi analipa nani? Kama kulikuwa kuna uwezekano wa kufuta hati ya kukamatwa kwa nini wampotezee muda! Magamba majinga kabsaaa.
 
Naipongeza mahakama kwa kuwaonesha watu kuwa mahakama haina siasa na sheria ni msumeno! Mbowe alidhani mahakama itamuogopa! Hongereni sana Mahakama ya Tanzania
 
Vipi kuhusu Zitto na naibu wa Bavicha? maana nilisikia wamekamatwa na hakuna habari zaidi zinazo wahusu wao?
 
Mkuu hapa kuna ukweli. Yaaani serikali inatumia gharama kubwa za kumlinda Mbowe na kumsafirisha kwa gharama kwenda Arusha tena chini ya ulinzi mkali ili hakimu akamuone usoni na kumruhusu kuendelea na dhamana yake? Mimi nilidhani kuna kitu kikuubwa kumbe ni hivyo, is there any value for money? Au ndio haki kutendeka na ionekane imetendeka? Haikuwa na mantiki yoyote kutumia kodi zetu kwa kumpeleka Arusha ili akaonane tu na hakimu
..angeambiwa ajisalimishe mwenyewe kabla ya saa za mahakama, ilikuwa ni kuwahi Meridian au Dar Express ya kwanza kwa shs. 30,000/- tu tena ya kwake na serikari ingeokoa mamilioni.
Ila unajua kuku akimuona kunguru huwa anajipanua kwa manyoya yake na kunguru kudhani kuwa ni 'jitu' kubwa kulikabili kumbe wako sawa tu 🙂

Seriously, I am so much concern on this.
 
Sasa ambae inaniuma ni mimi au wewe ? ww huoni maneno yako unayo yatoa yaonyesha kabisa kiongozi wako amedhalilishwa, hulioni hilo ?:majani7::majani7:
Amedhalilishwa au wamejidhalilisha waliomkamata??? Hv kwenda jela ni kudhalilika??? Wangeendelea kumshikilia waone.
Wanafanya mambo bila kufikiri.
 
Mmh, this is shame!
Jeshi la Polisi siku hizi sio usalama wa raia bali ni uhasama wa raia!
 
nimegundua chadema wa jf wote pumbafu kabisa.

nchi haitakalika peoples power huku wanajfungia majumbani kwao.
wanaancha maskini wakaandamane na kupigwa bakora kama wanafunzi.

wamemuacha mwenyekiti anakunya kwenye ndoo siku mbili.

kasafirishwa kama kibaka kwenda arusha. eti arusha haitakalika.

sasa hapa mmepata nini. bora angeheshimu dhamana ya mahakama.

kuna watu hapa bora waingie choo cha kike tu ni waoga hao
 
Back
Top Bottom