Tujadili hili pls?
Lakini fikra zangu.
"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."
Karibuni.
Imeshindikana miaka 50 itakuwa leo? Peleka upuuzi wako huko!
Ulaaniwe!
Hebu acheni huu ujinga wenu! Haya tuseme kashindwa kwa ajili ya ugonjwa! Kuna mwenye uhakika wa kuamka kesho?Ukawa semani kweli kwa nini Lowassa ashindwa kuhutubua kama Mbowe kaweza kuhutubia kwa nini asitumie hizo microphone alizokuwa anahutubia Mbowe.
Nyie wapuuzi mmeshashindwa kabla ya uchaguzi!
Hapo nimetoa mfano tu! Si mnamuita LOWASSA mgonjwa na kumtukana kila aina ya matusi? mbona bado yupo
Na hao mnawaona kuwa ni wazima ndio wanatangulia mbele ya haki! Jifunzeni hili wapuuzi nyie! vinginevyo mtamtafuta mchawi na msimpate!
Pumbavu wote mnaompinga lowassa.sura zenu zote kama smigo
Ndio, ni kweli, Lakini tutamchagua huyo! Jiandaeni kisaikolojia wapumbavu nyie!
KIKWETE alikuwa mgonjwa mpaka akaanguka jukwaani lakini tulimchagua!
Kama hiyo haitoshi akapatwa na kansa ya korodani tukamtibu marekani kwa kodi zetu, sasa sijui kwanini mnanyanyua midomo kama mashankupe bila kutafakari!
chief, sisi wote tumetambua what you're trying to drive at.
listen, chief, and listen good. priority ya kwanza kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni kuiondoa CCM madarakani. priority ya pili ni hiyo hiyo. na ya tatu, ya nne, nk, nk.
whether UKAWA na mgombea wao watafaa kama mbadala ama la, that's only a side show to the bigger picture of kicking the monster off the corridors of power. period.
Tujadili hili pls?
Lakini fikra zangu.
"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."
Karibuni.
Haya mama, Jiandaeni kuwa na Rais "TEJA" . Hakuna namna nyingine tena!Teja limezidiwa na madawa limeshindwa kuhutubia.