Tuambieni ukweli kwa nini kashindwa au pampas ilizidiwa ?
Tatizo la kuficha ugonjwa,ugonjwa sio aibu
Tuambieni ukweli kwa nini kashindwa au pampas ilizidiwa ?
Watu waongo !!!Rais ni Lowassa
Amefanya mikutano mitatu wa nne ndo vyombo vikasumbua, kesho wanarudia asubuhi ,!!
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.
Yaan Chadema Tunduma waandae mkutano kwa kuweka vyombo bomu?labda huijui Tunduma, tatizo hapa ni mgombea tu.
Mhusika wa kampeni za Chadema hajajipanga kabisa... kwanini vifaa visifanyiwe testing mapema?
Sasa kesho mnadhani watu wataenda kama walivyoenda leo?
Tatizo la kuficha ugonjwa,ugonjwa sio aibu