Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Kama hukuwepo basi ungeangalia ITV ungepata kujua kilichojiri. Sauti ilikuwa haitoki vizuri. Na mwisho ni lazima utofautishe nguvu aliyotumia Mbowe kuuelewesha umma Lowasa asingeweza.

Sauti ya Mbowe ya kukwaruza ....inaonekana ina uchovu na viroba labda, but Lowassa angewa tumia..coz sound setting kwa Mic kit inhekuwa tune poa mambo yangeendelea.....sitaki kama ya Zambia kwa satta, ndio maana nimeuliza....
 

Wewe kibaraka usie na adabu Deo kaingiaje hapo?

kuwa na heshima kama kweli umezaliwa na mwanamke
.
Nyie wapuuzi mmeshashindwa kabla ya uchaguzi!

Hapo nimetoa mfano tu! Si mnamuita LOWASSA mgonjwa na kumtukana kila aina ya matusi? mbona bado yupo?
Na hao mnawaona kuwa ni wazima ndio wanatangulia mbele ya haki! Jifunzeni hili wapuuzi nyie! vinginevyo mtamtafuta mchawi na msimpate!
 
Haswaaa...Lowasa hana haja ya kuhutubia,, Watanzania tumeshaamua kumpa nchi
Asante Mkuu! Mungu akubariki sana! Tutapambana mpaka dakika ya mwisho!

Lazima, lazima, Lazima LOWASSA awe RAIS wa TANZANIA, hakuna namna tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Inanikumbusha 1995, vyombo vya wapinzani wakati mwingine spika za upande mmoja zikishindwa kutoa sauti. Kasheshe yake kwenye mkutano wa watu wengi ilikuwa hatari!
 
Achen danganya toto nimemsikia mbowe kwa.masikio yangu,akitumia mic zinazosikika,kusema hazisikiki kwanba mgombea wao hatahutubia.waseme tu alipatwa na nini lowassa

nibora ambavyo hajaongea kwenye mic mbovu kuliko angeongea asisikike vzur
 
Bila ushabiki, Lowassa ni mgonjwa.
Ndio, ni kweli, Lakini tutamchagua huyo! Jiandaeni kisaikolojia wapumbavu nyie!

KIKWETE alikuwa mgonjwa mpaka akaanguka jukwaani lakini tulimchagua!

Kama hiyo haitoshi akapatwa na kansa ya korodani tukamtibu marekani kwa kodi zetu, sasa sijui kwanini mnanyanyua midomo kama mashankupe bila kutafakari!
 
Peleka mahaba yako huko..ujielewi wewe, eti ON sijui OFF...mbowe katumia nini?

Fede Masolwa wana ukawa ni watu wanaohitaji msaada wa kuelimishwa taratibu. Viroba na bhangi zimewaharibu vichwa!!!! Twende nao taratibu watatuelewa tuu. Ni watanzania wenzetu hawa
 
Asante Mkuu! Mungu akubariki sana! Tutapambana mpaka dakika ya mwisho!

Lazima, lazima, Lazima LOWASSA awe RAIS wa TANZANIA, hakuna namna tena!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Namna ipo, ni MAGUFULI. Mabadiliko ya kweli Mkuu
 
The guy was dead on his feet and drowsy.

Lawama ziende kwa doctor wake.

Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
Hapa manasabaisha watu waendelee kuwaombea vifo, Huu ujinga ndio unasababisha watanzania wafurahie vifo vya MACCM, nyie wapuuzi wachache ndio mnasababisha watanzania wanaichukia sana CCM, anyway bora CCM ife tu kupitia ninyi! Na bado!!!!
 
Mbona mnamponda sana Lowasa?nani ambae hajawahi kuumwa?tuwe wastaarabu kidogo mmeambiwa vyombo tatizo mpaka kesho,subirini hiyo kesho mtaambiwa nini ndio mpayuke

Mimi ni mmoja Wa wasafisha vyombo,kiufupi zipo foleni hapa mizani makambako,tutafanya kazi kama kawaida,gari zimechelea kwa sababu ya ubovu Wa barabara kutoka meatu had I barabara kuu ya Mz to Shy
 
Ndio, ni kweli, Lakini tutamchagua huyo! Jiandaeni kisaikolojia wapumbavu nyie!

KIKWETE alikuwa mgonjwa mpaka akaanguka jukwaani lakini tulimchagua!

Kama hiyo haitoshi akapatwa na kansa ya korodani tukamtibu marekani kwa kodi zetu, sasa sijui kwanini mnanyanyua midomo kama mashankupe bila kutafakari!

Teja limezidiwa na madawa limeshindwa kuhutubia.
 
Tujadili hili pls?

Lakini fikra zangu.

"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."

Karibuni.

Km kweli unampenda Mungu ambaye anajua yako yote ya Rohoni,eleza ukweli wa mambo na cyo kupindisha hoja ili uonekane ni mkweli. Vifaa vilibuma wakati Lowasa anataka kuhutubia au wakati Masha anataka kuhutubia? Kwakuwa umesema unampenda Mungu na hupendi kumdanganya,SEMA UKWELI
 
Back
Top Bottom