Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Wewe mwenyewe hapo mgonjwa na marehemu mtarajiwa.

Ni kweli,lakin nisingedanganya uongo wa kitoto kuwa eti nimeshindwa kuhutubia kwa sababu ya vyombo wakati ni ugonjwa,ningewaambia waniombee samahani na kuwataarifu kuwa leo mgombea wetu anajisikia vibaya,ni binadamu hivyo anaugua, hivyo ningewaomba wanivumilie nikapate dozi kisha kesho inshallah tuonane asubuhi,simple!
 
Nimeambiwa huko Tunduma wananchi walipigwa butwaa baada ya kuona Lowassa anasaidiwa kupanda ngazi..

Ameshindwa kuhutubia kutokana na afya yake kutokuwa nzuri...
Lakini kwa jinsi walivyoshangilia walipoambiwa kesho saa tatu basi hilo la kusaidiwa kupanda jukwaani hawakulijali
 
Tujadili hili pls?

Lakini fikra zangu.

"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."

Karibuni.

cha kujadili hapo nini sasa we vuvuzela
 
Tunduma imelipuka kwa hoi hoi na nderemo.. Binti Kidawa vipi nasikia babu Slaa amerudi US kula mihogo
 
Nimeangalia ITV, wanaTUNDUMA wakisema, ahutubie, asihutubie, kura zao anazo!

LOWASSA! WATANZANIA WAMEKUPA DHAMANA YA KUWAONGOZA, USIWAANGUSHE!
 
Tena bila aibu mbowe kasema Lowasa hawezi kuzungumza bila vyombo wakati yeye mwenyewe alikua anatumia vyombo hivyo hivyo.kwa hiyo eti wanaahirisha hadi kesho.je imgombea aaipotokea kabisa itakuaje

Huenda hukumuelewa Mbowe alichomaanisha ni kwamba Lowassa hawezi kuongea bila kumeza vidonge siunajua yule mzee yupo kwenye dozi tatizo sio vyombo mzee anatamani tarehe 25 ifike haraka hali ilishakuwa mbaya!
 
Usitake kudanganya watu mimi nilikuwepo na nimechukua na picha , mitambo ya kwanza ilianza kugoma kabla hata mheshimiwa hajatua chini Mpaka anaingia uwanjani haifanyi kazi makamanda wakaenda kukodi gari jingine limefika nalo likagoma pia, Mpaka hapo nimeamini kuwa Ccm mnatumia nguvu za giza kabisaaaaaaa
Hapa niko guest nasubilia kesho Saa 3
Gesti unafanywa nini muda huu dada
 
Tujadili hili pls?

Lakini fikra zangu.

"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."

Karibuni.
Tumia akili kidogo, hivi kuharibika kwa vifaa unashangaa?? Mbona chopa ilisababisha vifo vya wapenzi watu aina Deo na wenzake ilikuwa nzima kabisa wakati inaondoka kisha ila ikapata hitilafu na kusababisha maafa??
 
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.

Collapsion ndio lugha ganinwe Muhaya?
 
Mimi sioni hata haja ya LOWASSA, kujihangaisha kuhutubia, Yeye atulie tu, watanzania tumeshamuelewa. Asubiri kuapishwa tu! LOWASSA ndio tumaini lililobaki TANZANIA!
 
Hivi hamuoni kuwa hii ni janja ya nyani?

Mzee alikuwa taabani, alipitisha muda wake wa kuchomwa sindano so hakukuwa na namna ni lazima tu ahairishe mkutano.

Eti system mbili tofauti zote ziligoma wakati wa kutaka kuzungumza yeye... Are you serious? hivi wanataka kura ili watuongoze au wajinufaishe wao wenyewe?

Tumes'tuka... hatuwapi kura katu, Rais wetu ni Magufuli
 
Back
Top Bottom