Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Fede Masolwa, mpaka hapa tulipofika, kuna lolote umeweza kujifunza?

Unaweza tu kujibu swali hili ukipenda, ila pole kwa kushushuliwa.

Hayo ndiyo mavuno unayopata kwa kukurupuka ovyo.

Mabadiliko hayahitaji maneno wala kusubiri maneno.

Tsunami haizuiwi kwa mikono, maneno na mipasho.

Eti pole kwa kushushuliwa, naona mahaba tuu ndio yanaandika hapa...na kazi maalumu, hoja yangu itabaki palepale.

Kwanini vyombo vitumike na huyu safi mpaka kafanya ishara ya ujinga kwa wanamkutano na huyo mtu wako eti vyombo vimealibika...wakat kelele za mbowe ule muda zingemtosha tuu huyo wako.

Sina mahaba na utaifa, nitachagua huyu na lichama lake ingawa chafu kwa kazi, si huyu wako nimejifunza Zambia kwa Satta.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: snn
Akili ya kuvalia nguo inanielekeza kwamba jamaa alijichafua kama kawaida yake. Hivyo kwa hofu ya kipindupindu wakaamua kuahilisha mkutano ili akasafishwe.

Ni kosa la jinai kumweka nyerere kwenye avatar wakati kichwa chako kimejaa kamasi.
 
Akili ya kuvalia nguo inanielekeza kwamba jamaa alijichafua kama kawaida yake. Hivyo kwa hofu ya kipindupindu wakaamua kuahilisha mkutano ili akasafishwe.

Duh! basi twende na mchapa kazi...huyu apumzike
 
Jamani nashauri UKAWA tutangaze hali halisi ya mgombea wetu.tutaumbuka mbele ya safari.
 
Mbona mnamponda sana Lowasa?nani ambae hajawahi kuumwa?tuwe wastaarabu kidogo mmeambiwa vyombo tatizo mpaka kesho,subirini hiyo kesho mtaambiwa nini ndio mpayuke

Hakuna anayemponda watu wanazungumzia Khali yake, it's true that mzee is unfit to run the nation, sote twaliona hilo sema twajitoa fahamu, huo ni uvivu wa kufikiri, tuache ushabiki tuwe wa kweli,
 
We toroka tu uje acha kuumiza roho yako bure.Kwani vyombo huwa vina muda maalumu wa kuharibika? ndoroooobo kweli wewe
 
Acha Mambo Yako Cjawai Ona Wafanya Biashara Wa Tunduma Wakifunga Maduka Lakn Leo Wamesalim Amri Kwa Hiar Na Kuacha Kaz Zao Viva Lowasa

Biashara kufunga ni hofu ya kuvamiwa baada ya uchaguzi na vijana wa chama na vibaka nk, but kwanin mkutano kesho lakin?
 
Wana ukawa mbona mnapanik!!! Mada iko wazi, suala ni kwamba Lowasa aliishiwa chaji na kwa bahati mbaya hakuwa na power bank. Basiiii!! Anaficha nini, Rais gani mwongo!!!! Mbona Jk alifanya press conference kuelezea ugonjwa wake na tukamwelewa!!!! Na hatuwashi umeme sasa, labda atumie solar
 
Mwenye Uzi huu , ndo wale wale ambao elimu , elimu , elimu viweze kuwafumbua fikra zao , nyambafu unadhani electronic inaendeshwa kwa nini ? Ni mwendo wa logic gate ,'kama ni ON iwe hivo na sio OFF

Peleka mahaba yako huko..ujielewi wewe, eti ON sijui OFF...mbowe katumia nini?
 
Nimemsikiliza Spencer kaielezea vizuri sana... hata Azam wameonesha vizuri kuanzia maduka kufungwa...
Watu ni wengi sama hadi raha, nimefarijika kwa kweli... watu walipoambiwa kesho atakuja walifurahia sana, so kesho saa tatu Raisi atapanda tena kwa mara ya pili

Jamani tukumbushane asisahau kupiga dozi tutaumbuka kama ilivyotokea leo.nimesikitishwa sana.
 
chief, sisi wote tumetambua what you're trying to drive at.

listen, chief, and listen good. priority ya kwanza kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni kuiondoa CCM madarakani. priority ya pili ni hiyo hiyo. na ya tatu, ya nne, nk, nk.

whether UKAWA na mgombea wao watafaa kama mbadala ama la, that's only a side show to the bigger picture of kicking the monster off the corridors of power. period.

That's what we want!
 
Hiv mtoa mada unalenga nn aswa?????? Hizo propaganda peleka kulee time for Changes.
 
Back
Top Bottom