wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Kwahiyo unataka tukusaidieje?
Cha kukusaidia, nenda kesho saa tatu!
sindano zitakuwa bado na nguvu
Kwahiyo unataka tukusaidieje?
Cha kukusaidia, nenda kesho saa tatu!
Mkuu sio kila Mic inatumika tu kienyeji enyeji. Lowassa ni mtu makini anaye jua njama zote za CCM. Mchezo wa kutumia vitu ambavyo havija kaguliwa huwa haturuhusu kwa Lowassa. Mtasema kila kitu lakini msimamo utabaki pale pale.Naona unapanic bure tu wapi nimesema Lowassa mgonjwa?
Mie nimeuliza kama vyombo vilikuwa na tatizo kwa nini asitumie ile microphone alikuwa anatumia Mbowe au wale wasanii mbona wao tulikuwa tunawasikia?
Mambo ya kansa sijui ugonjwa wa JK mie sipo huko kama aliumwa akatibiwa hamna tatizo.
Haya, Ngoja nikupe ukweli sasa LOWASSA ni "mgonjwa" na alishindwa kuhutubia kwa sababu alizidiwa ghafla.Naona unapanic bure tu wapi nimesema Lowassa mgonjwa?
Mie nimeuliza kama vyombo vilikuwa na tatizo kwa nini asitumie ile microphone alikuwa anatumia Mbowe au wale wasanii mbona wao tulikuwa tunawasikia?
Mambo ya kansa sijui ugonjwa wa JK mie sipo huko kama aliumwa akatibiwa hamna tatizo.
Naona unaandika kufuru tupu!Lowassa Kwisha habari yake. Chagadema Kwisha habari yao.
Kwani Mbowe kaongea kupitia vyombo gani pale kwenye mkutano.
Hiv si wamefanya harakat za kuleta vyombo vingne bado vikaendelea kusumbua????ila hilo halitufanyi tusimwone kuwa anafaa kuwa kiongoz mkuu wa nchii hio
Mbona Mbowe kahutubia vizuri na watu walikuwa wanamsikiliza, kulikuwa na tatizo gani Lowassa angetumia microphone za Mbowe si uwa anahotubia dakika chache tu...Chadema kuweni wa kweli tatizo nini?
Mbona Mbowe kahutubia vizuri na watu walikuwa wanamsikiliza, kulikuwa na tatizo gani Lowassa angetumia microphone za Mbowe si uwa anahotubia dakika chache tu...Chadema kuweni wa kweli tatizo nini?
Kwa hiyo microphone aliyotumia Mbowe Lowassa marufuku kuitumia sababu aijakaguliwa?Mkuu sio kila Mic inatumika tu kienyeji enyeji. Lowassa ni mtu makini anaye jua njama zote za CCM. Mchezo wa kutumia vitu ambavyo havija kaguliwa huwa haturuhusu kwa Lowassa. Mtasema kila kitu lakini msimamo utabaki pale pale.
Haya, Ngoja nikupe ukweli sasa LOWASSA ni "mgonjwa" na alishindwa kuhutubia kwa sababu alizidiwa ghafla.
Lakini ndio Rais wako huyo! Jiandae kisaikolojia! Kuwa na Rais mgonjwa si "SUNNA?"
Tujadili hili pls?
Lakini fikra zangu.
"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."
Karibuni.
Uwa nakuonea sana huruma najua utakimbia jukwaa kuanzia tarehe 27.Haya, Ngoja nikupe ukweli sasa LOWASSA ni "mgonjwa" na alishindwa kuhutubia kwa sababu alizidiwa ghafla.
Lakini ndio Rais wako huyo! Jiandae kisaikolojia! Kuwa na Rais mgonjwa si "SUNNA?"
Ndio maana ilani ya CHADEMA inahimiza elimu. Sasa neno " Collapsion" ni kiingereza au kigiriki? Rudi shule mbwiga weee.