Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Binti kidawa kesho saa tatu asubuhi rais kipenzi cha watanzania atahutubia tena,, ukishampikia chai mumeo karibu kwenye mkutano wa kihistoria
 
Tunduma nasikia ilikuwa aibu balaa...Mbowe alimshikilia mwari wake mkono huku akijaribu kuwatuliza wana Tunduma ambao wanekasirishwa na kuwaletea mgombea mchovu...

Yaani naambiwa ni gumzo mji mzima wa Tunduma...wamejione ukiwa ilivyomagumashi...
 
Tujadili hili pls?

Lakini fikra zangu.

"Me nampenda mungu maana ni muaminifu, anafichua yale yote yanayofanywa sirini, haya sasa, wana tunduma mmeona kwa macho yenu, mmesikiliza mziki mwanzo mwisho, alafu by the time anatakiwa kuongea mzee tu mnaambiwa vimeharibika, that is a cheap reason kutolewa kwa mtu/chama kinachotaka kuongoza nchi, wakat wwngine wote wametumia vyombo hivyoo...na mmetangaziwa mkutano kesho kwa vyombo hivyo hivyo."

Karibuni.

Leo nilikatisha shughuli zangu nikaenda kuangalia spensa wa itv akituonyesha mafuriko huko tunduma!!! Nangoja kesho tena eeh mungu mlinde rais wetu kipenzi chetu watz EN Lowassa!!
 
Vyomboooo..... Tehe Tehe Tehe!!! Visingizio kila mara. Waseme ukweli bwana. Tatizo uwongo umewazidi hawa jamaa
 
Hivi hamuoni kuwa hii ni janja ya nyani?

Mzee alikuwa taabani, alipitisha muda wake wa kuchomwa sindano so hakukuwa na namna ni lazima tu ahairishe mkutano.

Eti system mbili tofauti zote ziligoma wakati wa kutaka kuzungumza yeye... Are you serious? hivi wanataka kura ili watuongoze au wajinufaishe wao wenyewe?

Tumes'tuka... hatuwapi kura katu, Rais wetu ni Magufuli

Lowasa tutamchagua hata akiwa kwenye machela hoi taabani kura zetu Watanzania anazo
 
Wakiambiwa mgombea wao mpaka wa kuanika juani hawataki pengine jua leo halikuwaka Tunduma.
Kwa mtini jifunzeni, ...Ambaye sio wa kuanikwa juani ni yupi? hata Deo filikunjombe alikuwa wa kuanikwa juani?

Acheni huo upumbavu wenu nyie wapambe feki wa MAGUFULI!
 
Hiyo ni janja ya nyani kula hindi bichi, mbona Mhe Mbowe kasikika wakati anaongea? Iweje Mhe Lowasa ashindwe? Ebu tuwe wakweli ktk hili, mzee kachoka inabidi apumzike kwanza-kisa uchovu.

Nimeangalia hii habari chanel ten nikajiuliza mbona Mbowe anaongea nikarudia tena kuangalia ITV nikapata jibu kuwa Mzee ndio itakuwa afya haikuwa nzuri.

 
Lowassa ameshindwa kuhutubia leo Tunduma kisa Vyombo vinasumbua.

Katika team yake ya kampeni hakuna aliepanda jukwaani zaidi ya Mbowe kwa dakika moja kuwaeleza wananchi kuwa tatizo ni vyombo.
Mbowe alitumia nini kuwaeleza kama sio vyombo. Lowassa ni mgonjwa na hafai kuwa Rais wa Tanzania.
 
The guy was dead on his feet and drowsy.

Lawama ziende kwa doctor wake.

Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!

We jamaa umeongea fact tupuuuu
 
Huenda hukumuelewa Mbowe alichomaanisha ni kwamba Lowassa hawezi kuongea bila kumeza vidonge siunajua yule mzee yupo kwenye dozi tatizo sio vyombo mzee anatamani tarehe 25 ifike haraka hali ilishakuwa mbaya!
He he he he he he Lowassa mpaka apigwe jeki, I din't know that.
 
Kuna tetesi kuwepo hujuma au wizi wa nyaya za spika zilizosababisha lowasa ashindwe kuhutubia, siku ingine tumieni WIFI
 
Kwa mtini jifunzeni, ...Ambaye sio wa kuanikwa juani ni yupi? hata Deo filikunjombe alikuwa wa kuanikwa juani?

Acheni huo upumbavu wenu nyie wapambe feki wa MAGUFULI!


Wewe kibaraka usie na adabu Deo kaingiaje hapo?

kuwa na heshima kama kweli umezaliwa na mwanamke
.
 
We tumeangalia taarifa na lowasa alikuepo jukwaan maik zikawa mbovu.kesho saa tatu njoo uone shughuli upyaaa
 
Tunduma nasikia ilikuwa aibu balaa...Mbowe alimshikilia mwari wake mkono huku akijaribu kuwatuliza wana Tunduma ambao wanekasirishwa na kuwaletea mgombea mchovu...

Yaani naambiwa ni gumzo mji mzima wa Tunduma...wamejione ukiwa ilivyomagumashi...

Wana tunduma hatuna haja ya kumchosha rais wetu kuhutubia.. Asubiri tu kuapishwa
 
SICK LOWASA.jpg
 
Inasemekana wazungusha mikono juu wameiba nyaya wameenda kuuza kwenye screpa, au kwa sababu sumaye hakuwepo wa kubusti engene.
 
Back
Top Bottom