mwaka 2010 mlikuwa mnasema hivi hivi eti JK mgonjwa. akaingia Magogoni na hadi hii leo bado anadunda huku "wazima" wakiendelea kupigwa usafiri kwa kwenda mbele.
Lowasa anakwenda Magogoni mwaka huu na watu wengi (angalia usije kujikuta ni mmoja wa hao) wataendelea kupigwa usafiri huku Rais Lowasa akiwa fiti 2020 kwa ajili ya awamu ya pili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.