afande pande
Member
- Oct 2, 2015
- 85
- 15
Ila evelyn kama nakujua hivi?
Mkuu Root kabla Lowasa hajawasili uwanjani vyombo vilikuwa vinafanya kazi baada ya Lowasa kuwasili ndo mic zikaanza kusumbua hata walipojaribu kutafuta mitambo tatizo bado likajirudia lakini kesho watafanya mkutano kuanzia saa tatu hizo ni kasoro za kawaida.
Lowasa anapendwa sana na wananchi
Wakat mkutano unahailishwa mbowe aliongelea nini hivi?
Hawana vyombo ndio wapate power bank? Nasikia umeme kuzimwa ni janja ya serikali maana madawa ya Lowassa yanahitaji 24 hours fridgeration na kwa umeme huu, jamaa hatoboi
Tunduma nasikia ilikuwa aibu balaa...Mbowe alimshikilia mwari wake mkono huku akijaribu kuwatuliza wana Tunduma ambao wanekasirishwa na kuwaletea mgombea mchovu...
Yaani naambiwa ni gumzo mji mzima wa Tunduma...wamejione ukiwa ilivyomagumashi...
Ukawa semani kweli kwa nini Lowassa ashindwa kuhutubua kama Mbowe kaweza kuhutubia kwa nini asitumie hizo microphone alizokuwa anahutubia Mbowe.
Acheni UONGO. Kwanini msizichomeke. UONGO HUU MPAKA LINI.Kuna tetesi kuwepo hujuma au wizi wa nyaya za spika zilizosababisha lowasa ashindwe kuhutubia, siku ingine tumieni WIFI
Lowasa tutamchagua hata akiwa kwenye machela hoi taabani kura zetu Watanzania anazo
The guy was dead on his feet and drowsy.
Lawama ziende kwa doctor wake.
Hiyo ya kusema kuna matatizo ya vyombo vya sauti ni danganya toto ya kulazimisha watu wazima!
UKAWA sasa wamebakia na visingizo kila kukicha. Walianza na kulinda kura, haikufua dafu, sasa eti hitilafu kwenye vyombo. Sasa huyo Mbowe alitoaje taarifa kwenye vyombe hivyo hivyo vyenye hitilafu?Inabidi mke wake aingilie kati kumokoa mume wake. Hawa ukawa watamuumiza mzee wa watu na hizi kampeni kwa tamaa zao za madaraka
Usitake kudanganya watu mimi nilikuwepo na nimechukua na picha , mitambo ya kwanza ilianza kugoma kabla hata mheshimiwa hajatua chini Mpaka anaingia uwanjani haifanyi kazi makamanda wakaenda kukodi gari jingine limefika nalo likagoma pia, Mpaka hapo nimeamini kuwa Ccm mnatumia nguvu za giza kabisaaaaaaa
Hapa niko guest nasubilia kesho Saa 3
hawa jamaa matapeli kweli!Lowassa ameshindwa kuhutubia leo Tunduma kisa Vyombo vinasumbua.
Katika team yake ya kampeni hakuna aliepanda jukwaani zaidi ya Mbowe kwa dakika moja kuwaeleza wananchi kuwa tatizo ni vyombo.