Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,841
- 18,104
porojo na gazeti nonsense![]()
porojo na gazeti nonsense![]()
nonsense artwork
Umemuita malaya, mimi ndiye nimeanzisha huu uzi na nimeleta hiyo video kuwaonyesha njinsi mlivyo na kazi ya kukanusha kila kitu.Sijatukana ila nimesema hiyo clip ni takataka. Kama siyo takataka niambie wewe inahusiana vipi na mada ya uzi huu?
Huoni kuwa hiyo unaambiwa ni separate deal ya JK/Samia Vs Congo Government? Siyo ya UN. ungekua na hekima ungeanza kwanza na investigation. Sasa wewe umekurupuka tu. Probability ya Samia na JK kufanya deal ni kubwa sana kutokana na historia yaoRubbish!! Sasa hao askari wa peacekeeping kwani wako chini ya Tz? Mbona huyu malaya anaropoka hovyo
Bi Kidude ajiandae kwenda kunyea debe ICC. Maelfu ya watu aliowaua hayawezi kumuacha salama.Mahakama ya kisheria ya Kimataifa inayohusika kusikiliza na kutoa hukumu kwa kesi za jinai ICC, kupitia Baraza la Wanasheria wake limeviambia vyombo vya habari kuwa litafika Tanzania kuanza uchunguzi na kukusanya ushahidi wa matukio yote muhimu yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29/10/2025.
View attachment 3545861
Yaani hao kazi yao Imekuwa ni kukanusha bila kutoa counteract na evidence, wanadhani wakishasema rubbish au nonsense tayari wamejibu hoja.Huoni kuwa hiyo unaambiwa ni separate deal ya JK/Samia Vs Congo Government? Siyo ya UN. ungekua na hekima ungeanza kwanza na investigation. Sasa wewe umekurupuka tu. Probability ya Samia na JK kufanya deal ni kubwa sana kutokana na historia yao
Story za kijinga za mitandaoni hizo. Watu mna moyo sana, kila siku kuja na habari mpya za kutungwa na nyinyi wenyewe!!.Kanusha FC kanusheni na hii ila kazi ya kusafisha damu ni ngumu sana.. waambieni wawaongezee dau lini mtaanza kukanusha hili la banyamlenge.
View attachment 3545948
Kuna utawala wa ndani ya JMT pia kuna utawala wa kimataifa. Hao ICC wanaheshimu utawala wa ndani.Steven,
Lugha yako kwa hapo ulipoandika ni ujima sana, yaani primitive. Ungeongea lugha hiyo BC yaani Before Christ, ni sawa kabisa.
Msiangalie vitabu vya dini tu lazima msome na Katiba. Combination of all, then you think critically, huwezi kutawala nchi kama unavyotwala familia yako.
You don’t own anybody!
Kwenye modern world, civilized world lazima uwe na skills siyo unakurupuka tu na kusema at wewe ni mtawala basi uue kama ingekua hivyo dunia sasa hivi ingekua hamna watu.
The difference (main) between man and dog is conscience. Huwezi kuua watu 10k ukawa huna remorse.
ICC wana standard zao, yes lakini hawaangalii upande mmoja hadi mama ntilie watamuuliza kwa uzito uleule.
Ruto na wenzie waliachiwa kwa sababu walionyesha remorse na kukubali hawawezi kurudia. Nyie na huyo Ushungi mko ngangari ati hamkuua, tuliua kidogo, etc
Na Ushungi anacheka na wassira ati tutaua tena. Hivi wewe unafikiri ICC wakisikia haya kuna clemence? Forget
Nyinyi wazee wa kususa CDM hamkutoka sisi tulio wengi tulitoka tukampigia kura asubuhi na mapema.Mamlaka yapi hayo unayoyazungumzia amepewa huyo kilaza wakati watz walio wengi hawakutoka kwenda kumpigia kura?!.
ICC kuja Tanzania ni story za kutunga?, awali tuliwaambia Samia atashitakiwa ICC mkasema ni story za kutunga, acheni blah blah you have to face the reality.Story za kijinga za mitandaoni hizo. Watu mna moyo sana, kila siku kuja na habari mpya za kutungwa na nyinyi wenyewe!!.
Mkuu ushahidi wa ujinga wa baadhi ya wanasiasa kutaka kupindua nchi upo mwingi tu.ICC kuja Tanzania ni story za kutunga?, awali tuliwaambia Samia atashitakiwa ICC mkasema ni story za kutunga, acheni blah blah you have to face the reality.
Hakuna kitu kama hicho, ICC wangeanza kwanza kushughulika na Iraq, Sudan, Somalia, DRC huko kuna matatizo mengi na ya kabla ya yale ya October 29 2025.Mahakama ya kisheria ya Kimataifa inayohusika kusikiliza na kutoa hukumu kwa kesi za jinai ICC, kupitia Baraza la Wanasheria wake limeviambia vyombo vya habari kuwa litafika Tanzania kuanza uchunguzi na kukusanya ushahidi wa matukio yote muhimu yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29/10/2025.
View attachment 3545861
Tukiwaambia nyie huwa mnakanusha msichokijua au hujifanya hamnazo.Msidhani hiyo kesi kufunguliwa kwake ni kazi nyepesi, punguzeni kujidanganya.
Hilo umeshajibiwa siku nyingi leta jipya.Hakuna kitu kama hicho, ICC wangeanza kwanza kushughulika na Iraq, Sudan, Somalia, DRC huko kuna matatizo mengi na ya kabla ya yale ya October 29 2025.
Hayo yote unayosema mshauri Samia akayaseme wakati wa utetezi wake kuwa tuliua kidogo tuu au wewe mwenyewe jiandae ukawe shahidi wake.Mkuu ushahidi wa ujinga wa baadhi ya wanasiasa kutaka kupindua nchi upo mwingi tu.
Yale yalikuwa mapinduzi ya kisiasa yaliyowatumia vijana wengi, walipigwa risasi kwa sababu wengi wao walikubaliana na hoja za kishetani za kuyageuza maisha yao yawe ngao za hao waliotaka kupindua nchi.
Ukikubaliana na hoja ya kuyaweka maisha yako mwenyewe rehani unahatarisha kifo cha ujanani mwako.
Mnakuja na hoja za wale waliopigwa risasi majumbani mwao, mnasahau kuwa wengi wao kabla ya kufuatwa huko majumbani mwao walishachoma moto vituo vya mafuta na kupora mali nyingi za watu.
Kama nyinyi ndio watetezi wenyewe kazi ipo. Kwahio walifuatwa majumbani na kupigwa risasi za vichwa kwasababu walichoma moto vituo vya mafuta?! Hivi huwa mnatafakari kabla ya kuandika? Kwahio mhalifu ukimfuata nyumbani unampiga risasi ya kichwa?Mkuu ushahidi wa ujinga wa baadhi ya wanasiasa kutaka kupindua nchi upo mwingi tu.
Yale yalikuwa mapinduzi ya kisiasa yaliyowatumia vijana wengi, walipigwa risasi kwa sababu wengi wao walikubaliana na hoja za kishetani za kuyageuza maisha yao yawe ngao za hao waliotaka kupindua nchi.
Ukikubaliana na hoja ya kuyaweka maisha yako mwenyewe rehani unahatarisha kifo cha ujanani mwako.
Mnakuja na hoja za wale waliopigwa risasi majumbani mwao, mnasahau kuwa wengi wao kabla ya kufuatwa huko majumbani mwao walishachoma moto vituo vya mafuta na kupora mali nyingi za watu.
Ubavu wa kukataa kutoa VISA wanao! Naona huko chini kunapwita!
Mijitu nyinyi ndio maana mnaitwa nyumbuBata kweli wewe, mwambie akatae aone kitakachofuata.. mnatiana ujinga vijiwe vya kahawa siyo..
Kwa hiyo Netanyahu akigoma ni sawa na mama yenu agomee eee.
Kashayavagaa mabichi.
Huyu choko Chizi Maarifa ndio basha wako unaimuitaChizi maarifa jamaa karudia tena huku...