Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Wanakuja kuonana na nani, hao wauaji pekee, au hata waliodhurika?

Kazi ya hawa jamaa sina mategemeo nayo sana. Wamejivutavuta mno, kama wanashughulikia kesi ya wizi wa kuku!

Wakitaka kuonana na Tundu Lissu, wataruhusiwa?
 
Wanakuja kuonana na nani, hao wauaji pekee, au hata waliodhurika?

Kazi ya hawa jamaa sina mategemeo nayo sana. Wamejivutavuta mno, kama wanashughulikia kesi ya wizi wa kuku!

Wakitaka kuonana na Tundu Lissu, wataruhusiwa?
Swali kuu ni wanakuja kwa ruhusa ya nani?
Na wakikataliwa kuja je ?
 
Humu kumejaa ujinga mwingi sana sababu wengi humu wapumbavupumbavu
Hao ICC wakikataliwa visa wana nini cha kufanya zaidi ya kulopolopo
Na wewe ndiye unayejiona mjanja kwenye kundi hilo la vilaza, si ajabu hiyo?

Hapa Samia hashughuliki na zile NGO za nchi jirani kama unavyofikiri wewe

Samia hadi sasa ni mfungwa, sasa wewe unataka kumzidishia maumivu huko ndani ya jela alimojiweka mwenyewe, kwa sababu za watu wapuuzi kama wewe makopo.
 
Humu kumejaa ujinga mwingi sana sababu wengi humu wapumbavupumbavu
Hao ICC wakikataliwa visa wana nini cha kufanya zaidi ya kulopolopo
Kazi ipo aisee ushawahi kusikia ICJ wajumbe wake wamekataliwa visa ya Nchi yeyote ile kwanza unajua status ya Passport ya wafanyakazi wa ICJ?..hivi ni kweli Watanzania wamefikia kiwango hiki cha uwezo zero wa kufikiri aisee...
 
Na wewe ndiye unayejiona mjanja kwenye kundi hilo la vilaza, si ajabu hiyo?

Hapa Samia hashughuliki na zile NGO za nchi jirani kama unavyofikiri wewe

Samia hadi sasa ni mfungwa, sasa wewe unataka kumzidishia maumivu huko ndani ya jela alimojiweka mwenyewe, kwa sababu za watu wapuuzi kama wewe makopo.
Povu lote la nini nyumbu
Unateseka ukiwa wapi ?
Pole sana, unaamini kabisa ICC wana uwezo wa kulazimisha kuja, aisee ni kama vile unaenda kutapeliwa hata ukiambiwa nini hautasikia
 
Povu lote la nini nyumbu
Unateseka ukiwa wapi ?
Pole sana, unaamini kabisa ICC wana uwezo wa kulazimisha kuja, aisee ni kama vile unaenda kutapeliwa hata ukiambiwa nini hautasikia
Mimi nikiteseka, wewe nguruwe anayetegemea masalia ya Samia utakuwa na hali gani?.
Jiandaeni tu kwa hali ngumu inayowasubiri.

Hatusubiri ICC waje kumchukuwa. Wao watangaze tu kwamba ni mhalifu anayetakiwa kujibu mshtaka,. Akiamua kwenda mwenyewe kujibu, hiyo ni heri kwake kuliko kusubiri awajibishwe na waTanzania hapa hapa.

Usiione hhiyo mitutu ukafikiri haiwezi kuwatoa damu kwenye miili yenu pia.
 
Kazi ipo aisee ushawahi kusikia AICC wajumbe wake wamekataliwa visa ya Nchi yeyote ile kwanza unajua status ya Passport ya wafanyakazi wa AICC?..hivi ni kweli Watanzania wamefikia kiwango hiki cha uwezo zero wa kufikiri aisee...

Sijawahi kujua viwango vya akili za kibongo sababu nusu ya maisha yangu nimeishi nje ya Tanzania
Mnatia huruma sana, mnaishi kwa matumaini sijui ni kwa sababu ya umasikini hata inawafanya kuamini chochote kinachoonekana kuwa endapo kitafanyika basi mnakigeuza kuwa uhalisia
Inatia huruma sana
 
Mimi nikiteseka, wewe nguruwe anayetegemea masalia ya Samia utakuwa na hali gani?.
Jiandaeni tu kwa hali ngumu inayowasubiri.

Hatusubiri ICC waje kumchukuwa. Wao watangaze tu kwamba ni mhalifu anayetakiwa kujibu mshtaka,. Akiamua kwenda mwenyewe kujibu, hiyo ni heri kwake kuliko kusubiri awajibishwe na waTanzania hapa hapa.

Usiione hhiyo mitutu ukafikiri haiwezi kuwatoa damu kwenye miili yenu pia.
wewe ni Mental case
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Sasa wewe hayo ya kwenda ferry umeyaokota wapi, mbona hayajasemwa hapo kwenye hilo bandiko.
Unafikiri unapokuwa Mwanasheria FEKI wa serikali, basi kila kitu ni wewe tu unatakiwa kukijuwa?.

Mkiwazuia kuja hapa, watatangaza uamzi wenu huo na taratibu nyingine zitaendelea.

Wewe umekuwa mpuuzi sana kiasi kwamba damu ya waTanzania mliyoimwaga inawadhuru sasa hivi.
 
Sijawahi kujua viwango vya akili za kibongo sababu nusu ya maisha yangu nimeishi nje ya Tanzania
Mnatia huruma sana, mnaishi kwa matumaini sijui ni kwa sababu ya umasikini hata inawafanya kuamini chochote kinachoonekana kuwa endapo kitafanyika basi mnakigeuza kuwa uhalisia
Inatia huruma sana
Ndio maana kila kukicha unatukanana na watu humu unapenda kujilkweza kwa kitu ambacho hauna ok umeishi nusu ya maisha yako nje ya Tanzania mbona kichwani wa kawaida sana...haya mambo jisifie ukiwa kijijini kwenu huko sio humu ambako watu kuwa nje na familia zao ni kitu cha kawaida tu ila kwa waliobahatisha mnaona kitu cha ajabu sana..
 
Ndio maana kila kukicha unatukanana na watu humu unapenda kujilkweza kwa kitu ambacho hauna ok umeishi nusu ya maisha yako nje ya Tanzania mbona kichwani wa kawaida sana...haya mambo jisifie ukiwa kijijini kwenu huko sio humu ambako watu kuwa nje na familia zao ni kitu cha kawaida tu ila kwa waliobahatisha mnaona kitu cha ajabu sana..
Ad hominem fallacy
Umeshidwa kujitetea na upuuzi ulijaribu kuuleta hapa sasa unanishambulia binafsi
Typical akili za kibongo
Kwahiyo unaumia nikisema niliishi nusu ya maisha yangu nje
Mimi wa kawaida sana tu ndio maana nikiona mtu kaandika upotoshaji namtukana sina muda wa maelezo mengi
 
Back
Top Bottom