Si unaona kumbe ni nyumbu, kilaza unaruka ruka hata hujui unatakakujieleza niniMtafute Chizi Maharifa mtukanane mazee si wengine hatujakulia maisha ya hovyo hovyo na hatuishi maisha ya hovyo hovyo ya kukosa ustaarabu wa kutukana watu hovyo...
Hizi mambo za kulipa Ada unataka uelezewe kirahisi yaani Mtanzania unasema wajumbe wa mahakama watanyimwa visa daah hiyo Nchi ni kiboko..yaani wafanyakazi wa UN wanyimwe Visa Tanzania kazi ipo..
Wakati vikao vya UN USA hata Nchi walizowekewa vikwazo wanaenda..
Sasa kutoka ICC umerukia UN? inahusiana nini
Uliishia darasa la ngapi ?