Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 8,789
- 5,539
DR Congo wanakufa watu kila siku wala sio ndani ya siku 3 pekee.Hii ya kuua watu elfu 10 ndani ya siku 3 haijawahi kutokea.
Somalia imepata amani ndani ya miaka hii mitatu, kabla ya hapo kuanzia mwaka 1991 watu wamepigwa sana risasi, serikali zilikuwa za mitaa.
Kutoka Pale mtaa wa Congo mpaka ilala soko la mitumba kuna serikali yake, kutoka Ilala mpaka Sharif Shamba kuna serikali nyingine tena, mwenye silaha nyingi anayejua kuzitumia akapata kila alichokitaka.