Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Hii ya kuua watu elfu 10 ndani ya siku 3 haijawahi kutokea.
DR Congo wanakufa watu kila siku wala sio ndani ya siku 3 pekee.

Somalia imepata amani ndani ya miaka hii mitatu, kabla ya hapo kuanzia mwaka 1991 watu wamepigwa sana risasi, serikali zilikuwa za mitaa.

Kutoka Pale mtaa wa Congo mpaka ilala soko la mitumba kuna serikali yake, kutoka Ilala mpaka Sharif Shamba kuna serikali nyingine tena, mwenye silaha nyingi anayejua kuzitumia akapata kila alichokitaka.
 
Mlitengeneza document eti Amnesty International imewalipa wanaharakati mlipopelekewa moto mkaikana na kuomba radhi.

Msivyo na akili mkatengeneza wakatoliki wa kuchovya sijui mliwapeleka wapi.
Mkuu endelea kujipa moyo hakuna kesi yoyote atakayopewa Rais SSH, siku nyingine msirudie tena ujinga ule.
 
ukiona matusi ya nguoni yametamalaki badala ya kejeli na mzaha kama ilivyo kawaida yao basi ujue hii habari ina ukweli ndani yake, kwa hali ya kawaida huleta kejeli, ukiunganisha na kombo kukutana na tume ya raisi basi ni kweli kwamba icc watatia timu …
Kombo alikutana na huyo jamaa kule Ethiopia wakaongea kuhusiana na ushiriki wa Tanzania kwenye vita ya DRC, wabongo walivyoona picha wakatunga habari kama ilivyo kawaida yao.

Hao wajinga wa hilo gazeti wanawajua watanzania kwamba wanaishi kwa kutegemea umbea wamekuja na habari hiyo ili wauze nakala nyingi za gazeti lao.
 
DR Congo wanakufa watu kila siku wala sio ndani ya siku 3 pekee.

Somalia imepata amani ndani ya miaka hii mitatu, kabla ya hapo kuanzia mwaka 1991 watu wamepigwa sana risasi, serikali zilikuwa za mitaa.

Kutoka Pale mtaa wa Congo mpaka ilala soko la mitumba kuna serikali yake, kutoka Ilala mpaka Sharif Shamba kuna serikali nyingine tena, mwenye silaha nyingi anayejua kuzitumia akapata kila alichokitaka.
Drc ni raia Gani anaandamana na anapigwa risasi Tena akiwa ameshika bendera ya taifa Hilo?
 
Ukishawekwa kwenye kundi la uhaini huwezi kushindana na serikali ukaishinda, wanaharakati wanapaswa kutambua kwa kina ukweli huo.
Kwahiyo tunahitimisha kwamba wanaokufa Kila siku huko DRC ni tofauti na WA huku tanganyika kwakuwa kule wameshika silaha na kundi lao linajulikana na sio kwamba wana andamana kama ilivyo kuwa huku?
 
Kwahiyo tunahitimisha kwamba wanaokufa Kila siku huko DRC ni tofauti na WA huku tanganyika kwakuwa kule wameshika silaha na kundi lao linajulikana na sio kwamba wana andamana kama ilivyo kuwa huku?
Hitimisho huenda sambamba na mazingira ya watu kule kuuana kila kukicha wakati huku vijana wamegundua mapema sana kwamba vita vinaleta umaskini unaodumu miaka na miaka.

DRC kuna uwepo wa makampuni ya wazungu yanayofaidika na utajiri wa madini wenyeji wanagombanishwa ili wauane wakati huo wazungu wanaendelea kujisombea madini kila kukicha.

Huku Tanzania vijana wanasumbuliwa na shibe, pia uelewa wao mdogo kiasi cha kushindwa kulinganisha kile kinachowazunguka na kile walichonacho mataifa yanayotuzunguka.

Kuna fursa nyingi sana zinazoletwa na mahali ilipo Tanzania, wanasiasa wenye uhusiano na wazungu kwa sababu wameshikiwa akili na hao wazungu wanakuwa wepesi kuigombanisha Tanzania ili ifanane na kina Somalia na DRC ili utajiri wote uliopo wafaidike nao kirahisi tu.
 
Hiyo ICC ni mahakama ambayo ipo chini ya UN makao yake makuu yapo The Hague wengi hamjui hilo unadhani the Hague ilianza yenyewe na hapo pana ICJ ndio wanasimamia hili jambo likiwa chini ya ICC ICJ ina majaji 15..
Masikini pole sana, hata kugugo hujui
Uliishia darasa la ngapi

1771505491548.png
 
Humu kumejaa ujinga mwingi sana sababu wengi humu wapumbavupumbavu
Hao ICC wakikataliwa visa wana nini cha kufanya zaidi ya kulopolopo
Daah!!
Chawa mna kauli za kishujaa Sana kuliko wahusika wa kesi.
Uzuri sasa hivi wahusika wa mauwaji wanajua huu msala mkubwa wanajizuia matamko ya mihemko.
 
Kazi ipo aisee ushawahi kusikia ICJ wajumbe wake wamekataliwa visa ya Nchi yeyote ile kwanza unajua status ya Passport ya wafanyakazi wa ICJ?..hivi ni kweli Watanzania wamefikia kiwango hiki cha uwezo zero wa kufikiri aisee...
Sasa huyo kule UVCCM Zenj huyo ndio mwenye akili.
 
hivi communist maduro alichukuliwa kwa pingu kwa ruhusa ya nani? ...
Ukiwa mlokole sana hata akili zinapotea unapata kitu inaiitwa brain fog
usijipe matumaini hewa kuwa trump atakuja kumchukua Samia

Hiki ndio sababu ya maduro kunyakuliwa, huku kwetu ni baa la njaa


1771505725219.png
 
Mahakama ya kisheria ya Kimataifa inayohusika kusikiliza na kutoa hukumu kwa kesi za jinai ICC, kupitia Baraza la Wanasheria wake limeviambia vyombo vya habari kuwa litafika Tanzania kuanza uchunguzi na kukusanya ushahidi wa matukio yote muhimu yaliyotokea kabla na baada ya tarehe 29/10/2025.

View attachment 3545861
Mungu wabariki Wazungu
 
Daah!!
Chawa mna kauli za kishujaa Sana kuliko wahusika wa kesi.
Uzuri sasa hivi wahusika wa mauwaji wanajua huu msala mkubwa wanajizuia matamko ya mihemko.
nyumbu ni wa kuwaoenea huruma
Unajua huku kwetu umasikini umetufanya tuishi kwa matumaini katika kila kitu, hata kwenye uhalisia wa kitu kisichowezekana tunaamini na kuongezea imani ndani yake kuwa itakuwa hivyo hata kama all odds are stuck against it, lakini bado tutajifanya kusali na maombi mengi, lakini tunaendele kuwa masikini na kuishi kimasikini mpaka kufa huku tukiomba dua za kuku.
Mzungu anaishi katika mfumo wa either black or white, hakuna kupepesa macho
 
Kazi ipo aisee ushawahi kusikia ICJ wajumbe wake wamekataliwa visa ya Nchi yeyote ile kwanza unajua status ya Passport ya wafanyakazi wa ICJ?..hivi ni kweli Watanzania wamefikia kiwango hiki cha uwezo zero wa kufikiri aisee...
Naona umeenda kuedit upupu ulioleta kwanza?
Na pi hata huu ni upupu na hauhusiana na mada iliyoletwa hapa
Na ndio hulka ya vilaza, huwa wanatangatanga hawajui nini cha kujibu au kujieleza
ICJ haihusiani kabisa, kabisa tena na ICC
Na haihusiki na siasa za ndani ya nchi
Hebu nenda katafute mtu akutafsirie hapa

1771506940494.png
 
Wanakuja kuonana na nani, hao wauaji pekee, au hata waliodhurika?

Kazi ya hawa jamaa sina mategemeo nayo sana. Wamejivutavuta mno, kama wanashughulikia kesi ya wizi wa kuku!

Wakitaka kuonana na Tundu Lissu, wataruhusiwa?
Wale hawapangiwi mtu wa kuonana naye!
 
Back
Top Bottom