- Thread starter
- #61
Kanusha FC kanusheni na hii ila kazi ya kusafisha damu ni ngumu sana.. waambieni wawaongezee dau lini mtaanza kukanusha hili la banyamlenge.ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.
Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.
Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.