Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

Hatimaye ICC kutua nchini - MwanaHALISI

ICC sio wajinga wa kiasi hicho. Tutawapa Katiba yetu na sheria zetu na tutawaonyesha vurugu zote zilizofanyika kuanzia kuchoma vituo vya kupigia kura, vituo vya polisi, TRA, Bank, Mahakama, shule, hospitali, sheli, biashara za watu halafu waseme kama nguvu iliyotumika ni kubwa mno, ni sawa au ni ndogo mmo. Waje tu mashahidi wapo wengi sana. ICC waanzie huko Israel, Ukraine, Rwanda, Somalia, nk kwanza
 
ICC sio wajinga wa kiasi hicho. Tutawapa Katiba yetu na sheria zetu na tutawaonyesha vurugu zote zilizofanyika kuanzia kuchoma vituo vya kupigia kura, vituo vya polisi, TRA, Bank, Mahakama, shule, hospitali, sheli, biashara za watu halafu waseme kama nguvu iliyotumika ni kubwa mno, ni sawa au ni ndogo mmo. Waje tu mashahidi wapo wengi sana. ICC waanzie huko Israel, Ukraine, Rwanda, Somalia, nk kwanza
VIDEO ZPO POLISI WAKIWAPIGA RISASI WATU AMBAO HAWANA SILAHA MPAKA WATOTO WADOGO
 
Ad hominem fallacy
Umeshidwa kujitetea na upuuzi ulijaribu kuuleta hapa sasa unanishambulia binafsi
Typical akili za kibongo
Kwahiyo unaumia nikisema niliishi nusu ya maisha yangu nje
Mimi wa kawaida sana tu ndio maana nikiona mtu kaandika upotoshaji namtukana sina muda wa maelezo mengi
Mtafute Chizi Maharifa mtukanane mazee si wengine hatujakulia maisha ya hovyo hovyo na hatuishi maisha ya hovyo hovyo ya kukosa ustaarabu wa kutukana watu hovyo...
Hizi mambo za kulipa Ada unataka uelezewe kirahisi yaani Mtanzania unasema wajumbe wa mahakama watanyimwa visa daah hiyo Nchi ni kiboko..yaani wafanyakazi wa UN wanyimwe Visa Tanzania kazi ipo..
Wakati vikao vya UN USA hata Nchi walizowekewa vikwazo wanaenda..
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Screenshot_20260216-194530~2.png
 
ICC sio wajinga wa kiasi hicho. Tutawapa Katiba yetu na sheria zetu na tutawaonyesha vurugu zote zilizofanyika kuanzia kuchoma vituo vya kupigia kura, vituo vya polisi, TRA, Bank, Mahakama, shule, hospitali, sheli, biashara za watu halafu waseme kama nguvu iliyotumika ni kubwa mno, ni sawa au ni ndogo mmo. Waje tu mashahidi wapo wengi sana. ICC waanzie huko Israel, Ukraine, Rwanda, Somalia, nk kwanza
Watakuuliza unajuaje kama ni waandamaji ndiyo walichoma mabasi nk, unafikiri wameanza na Tanzania tu? Kwani katiba ya Phillipinnes inaruhusu madawa ya kulevya? Duterte aliwachapa risasi cold blooded hao watu na ameshikwa!
Unakolalia wao ndiyo wameamkia, kajinoe tena

This is not a joke. Muwe mnaongea vizuri na sisi siyo mnakomaza shingo wala hamjui kitu. Njie na amateurs tu
 
Tuliwaambia wakati wa AU summit Kombo aliambiwa ICC wanataka majibu ya summons haraka mkajifanya much know.
Mna kelele! Ila hamjifunzi tu kila mnalotamani liwe haliwi. Mmefanya Ramli weeeee tokea mkiwa vijana mpaka mnajizeesha kabla ya muda wenu. Hili nalo litapita hivihivi
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Mamlaka yapi hayo unayoyazungumzia amepewa huyo kilaza wakati watz walio wengi hawakutoka kwenda kumpigia kura?!.
 
Humu kumejaa ujinga mwingi sana sababu wengi humu wapumbavupumbavu
Hao ICC wakikataliwa visa wana nini cha kufanya zaidi ya kulopolopo
Tanzania haina ubavu wa kuikatalia visa ICC kwa uchumi gani mlionao.

Matusi yenu hayatawasaidia kitu wala kumsaidia Samia asipelekwe the Hague.
 
ICC hawaji Tanzania kama wewe unavyokwenda ferry kununua samaki, wanazo taratibu zao za kazi.

Jifunzeni kuheshimu dola hamuwezi kuleta ujinga halafu mkaendelea kuchekewa,.

Mamlaka ya nchi lazima yaheshimike kwa raia wote.
Steven,
Lugha yako kwa hapo ulipoandika ni ujima sana, yaani primitive. Ungeongea lugha hiyo BC yaani Before Christ, ni sawa kabisa.
Msiangalie vitabu vya dini tu lazima msome na Katiba. Combination of all, then you think critically, huwezi kutawala nchi kama unavyotwala familia yako.
You don’t own anybody!

Kwenye modern world, civilized world lazima uwe na skills siyo unakurupuka tu na kusema at wewe ni mtawala basi uue kama ingekua hivyo dunia sasa hivi ingekua hamna watu.
The difference (main) between man and dog is conscience. Huwezi kuua watu 10k ukawa huna remorse.

ICC wana standard zao, yes lakini hawaangalii upande mmoja hadi mama ntilie watamuuliza kwa uzito uleule.

Ruto na wenzie waliachiwa kwa sababu walionyesha remorse na kukubali hawawezi kurudia. Nyie na huyo Ushungi mko ngangari ati hamkuua, tuliua kidogo, etc
Na Ushungi anacheka na wassira ati tutaua tena. Hivi wewe unafikiri ICC wakisikia haya kuna clemence? Forget
 
wao kuja kwa mazungumzo ni utaratibu wa kawaida wala sishangai
 
ICC sio wajinga wa kiasi hicho. Tutawapa Katiba yetu na sheria zetu na tutawaonyesha vurugu zote zilizofanyika kuanzia kuchoma vituo vya kupigia kura, vituo vya polisi, TRA, Bank, Mahakama, shule, hospitali, sheli, biashara za watu halafu waseme kama nguvu iliyotumika ni kubwa mno, ni sawa au ni ndogo mmo. Waje tu mashahidi wapo wengi sana. ICC waanzie huko Israel, Ukraine, Rwanda, Somalia, nk kwanza
Kanusha FC kanusheni na hii au hamjapewa script.
Tlaatlaah

 
Back
Top Bottom