KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Mimi nawashuru sana wafadhiri make unaona vitu vidogo tu ambavyo serikali ingefanyia kazi (ubadhirifu ktk serikali namashirika ya uma) wanapata kigugumizi bado wafadhiri wanapata mwoyo wa kusaidia tu jiweke saaafi kwanza ndio muombe misaada. Inamaana serikali inafiki wafadhiri ni vipofu au hawaoni mtazamo wa watanzania walio wengi? Jisafisheni, jiwekeni katika kuondokana na viulizo vingi mtapata misaada. halafu mimi nashindwa kuelewa kodi lukuki bado misaada? Serikali inabidi ipate somo kutoka kenya kupunguza utegemezi katika bajeti zetu.