Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 681
- 126
Wakuu niwekeni sawa. Hapo mwanzoni wafadhili walikuwa na uwezo wa kufadhili miradi moja kwa moja mfano JICA walikuwa na uwezo wa kufadhili kilimo au barabara fulani. Sasa hiviserikali imekataa na badala yake pesa zote za wafadhili lazima zipite hazina na dheni serikali iamie namna ta kutumia (wanaita Ownership) je huu mpango nyie mnauona je? kuchanganya ahadi tuu za wafadhili na kodi za wananchi na kuzipangia hizo ahadi budget? Kenya nawapa Tano wamesema hawawezi kuweka ahadi za wafadhili kwenye mpango wa matumizi bila kupokea pesa.