…unataja ya zinaa na nyingine unazozikumbuka,
Umenifurahisha aanze kutamka alivyokuwa anamkunja, alivyotatuliwa marinda etc hii kali
…unataja ya zinaa na nyingine unazozikumbuka,
Wakati anakuchezea wewe.ulikua huchezi!!?Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kama ni public sector unaweza hama fasta tu lkn kama ni private afu ndo ukute hawana subsidy, imbombo ngafu!!Hao co workers wengine Ndio walionileta hapo ofisini
Uwezo wangu na elimu yangu Ndio ilinifanya nikaajiriwa
Na hata nikiondoka kila mtu na maisha yake
Hakuna malaika humu wala mtakatifu..we just share our opinions...ulileta uzi humu watu wakakushauri ila uliwajibu kama ulivyoona inafaa..so leo tena tunaendelea kutoa ushauri bi dada.....Hayajakukuta Ndio maana unakua hodari kuona wenzako hawajielewi
I’m a yasikukute
Hayanaga mjanja haya
Endeleeni kucomment wajuani na mahodari
Malaika watu wa jamii forum
Bi mkubwa kamaindiYou are so bitter. Namuelewa jamaa kwakweli. He made the right choice. Hakukuchezea, uliuchezea mwili wako wewe mwenyewe. Nakupa hii, ukiamua utameza au kutema, shaurilo.
You are bitter, full of vengeance, huna hekima, unaringia uzuri ushubwada, roho yako nyeusi sana, umejaa maigizo.
Nani kakwambia duniani hamna rejections. Kila siku tunaface rejections mia elfu na bado tunamooove. Hutaki kugrow-up, unatema sumu kwa kila mtu kwani tulikutuma kuja kuyaanika humu. Step up your game miss. Amekukataa, jirekebishe afu jifunze kutuliza nyau ili next time usiumie.
Umemlaani sana kaka wa watu, na mimi nazifuta hizo laana kwa Damu ya Yesu. Ndoa yake itabarikiwa, atalitumikia shauri la Mungu, atafanikiwa yeye na uzao wake, atakuwa kinara maisha yote. Angekua kaka yako anatamkiwa hivyo ungefurahi? Usijidide dii...husda si nzuri kwa mwanamke, zaidi utaonekana mwanga tu. Wanaume kazi mnayo kama wanawake ndo hawa!!!
Sio ata wabaya ni weusi ,mwanaume mjanja na mwenye hesabu za mbali mwanamke mweusi anafaa kuwa mke bora sana ,hawa weupe kuna namna tu wanavyojiona hautafika mbali.
Woiiii wadada weupe nawaonaga dada zangu tu,mimi napenda kuku wa kienyeji 😁😁
Ulijirahisi mwenyewe ukajifanya danga! Usinilaumu bure! Huna sifa nilizokuwa nazitafuta!Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Baby , how is everything there?.Baharia kazini
Unashauriwa kamwe usidate mtu unayefanya naye kaz ofic au taasis mojaHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kwa akili za huyu mwanamke jamaa alifanya jambo la maana kutomtia mimba.Lipo tatizo kwako. Unafikiri kwa nini amuoe mbaya,akuache wewe. WANAWAKE WA SIKU HIZI UJUAJI MWINGI. Na mtatumika sana pumbavu sana. Na Hakuna the karma yoyote itamkuta mwamba. Amekosea tu angekupiga na mimba kabisa kwanza ndio atangaze ndoa na mwingine. Kenge nyie