LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,118
- 27,112
Wakuu baada ya kupiga kambi Mtwara na Newala nimevutiwa sana na ustaarabu, uungwana na ukarimu wa watu wa kusini mwa Tanzania.
Sasa ninaandika kitabu kuhusu maisha ya watu wa kusini mwa Tanzania. Kitabu kitagusa nyanja zote kuanzia utamaduni hadi shughuli za kiuchumi ikiwa ni pamoja na fursa zote unazoweza kuzipata katika kila wilaya iliyopo katika mikoa ya kusini.
Now naanza kuweka miundombinu ya kuanza utafiti wangu.
Kama kuna jambo unataka nilifanyie utafiti kuhusu maisha ya watu wa kusini tafadhali weka kwenye komenti hapo chini.
Sasa ninaandika kitabu kuhusu maisha ya watu wa kusini mwa Tanzania. Kitabu kitagusa nyanja zote kuanzia utamaduni hadi shughuli za kiuchumi ikiwa ni pamoja na fursa zote unazoweza kuzipata katika kila wilaya iliyopo katika mikoa ya kusini.
Now naanza kuweka miundombinu ya kuanza utafiti wangu.
Kama kuna jambo unataka nilifanyie utafiti kuhusu maisha ya watu wa kusini tafadhali weka kwenye komenti hapo chini.