ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
BoT imeelezea Wasiwasi wake kutokana na uwiano usio sawa baina ya Mikoa kwenye utumiaji wa Huduma za kidedha na kuweka akina zao Banks..
Kwa Mujibu wa BoT,Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ikiwemo Mbeya Ina kiwango kidogo sana Cha watu Wanaiweka akiba Banki huku ikisema inatakiwa Elimu na utafiti kubainiaha sababu zipi zinapelekea hivyo.
My Take
Banks zinazoanza zinatakiwa kuja kufanya penetration zaidi kwenye Mikoa hii ambako watu Bado wanatunza pesa zao ndani Kwa kuchimbia chini.
Kwa Mujibu wa BoT,Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ikiwemo Mbeya Ina kiwango kidogo sana Cha watu Wanaiweka akiba Banki huku ikisema inatakiwa Elimu na utafiti kubainiaha sababu zipi zinapelekea hivyo.
My Take
Banks zinazoanza zinatakiwa kuja kufanya penetration zaidi kwenye Mikoa hii ambako watu Bado wanatunza pesa zao ndani Kwa kuchimbia chini.