beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga amesema kwa mujibu wa Sheria, Ushirika ni kwa Wanaushirika wenyewe lakini hali ilivyo sasa, Ushirika umekuwa ukiwalazisha watu wasio Wanachama kuuza mazao yao kupitia kwenye Vyama vya Ushirika.
Akiwa Bungeni Dodoma, Hasunga ambaye amewahi kuwa Waziri wa Kilimo amehoji Serikali ina mpango gani kuruhusu Kampuni binafsi na Wafanyabiashara kununua moja kwa moja kwa Wakulima bila kupitia Ushirika.
Akimjibu, Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema, "Tunaamini mfumo wa Ushirika ndio njia sahihi ambayo itamsaidia Mkulima mdogo kuwa na 'Collective Bargaining Power' ambayo itamsaidia kupata Haki yake".
Akiwa Bungeni Dodoma, Hasunga ambaye amewahi kuwa Waziri wa Kilimo amehoji Serikali ina mpango gani kuruhusu Kampuni binafsi na Wafanyabiashara kununua moja kwa moja kwa Wakulima bila kupitia Ushirika.
Akimjibu, Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema, "Tunaamini mfumo wa Ushirika ndio njia sahihi ambayo itamsaidia Mkulima mdogo kuwa na 'Collective Bargaining Power' ambayo itamsaidia kupata Haki yake".