Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,275
Hujalazimishwa kutoa. Im just letting u kno the significance of doing such things. Wazungu waachie yao wewe fanya yako ya ki Africa i.e. Ki asili unayoona ni sawa.
Kiangazi na masika zote ni hali ya hewa.
Halafu misaada unaenda kuomba kwa wazungu, kila kitu unanunua cha wazungu alafu kwa umasikini wako unaona kuchangia harusi ndo kuwa UNIQUE compared to wazunguz????!!!....HIZI AKILI TULIZONAZO WAAFRIKA ZINAHITAJI OVERHAUL