Harusi ni mipango yako binafsi, kwanini uninunie?

Harusi ni mipango yako binafsi, kwanini uninunie?

Hujalazimishwa kutoa. Im just letting u kno the significance of doing such things. Wazungu waachie yao wewe fanya yako ya ki Africa i.e. Ki asili unayoona ni sawa.
Kiangazi na masika zote ni hali ya hewa.

Halafu misaada unaenda kuomba kwa wazungu, kila kitu unanunua cha wazungu alafu kwa umasikini wako unaona kuchangia harusi ndo kuwa UNIQUE compared to wazunguz????!!!....HIZI AKILI TULIZONAZO WAAFRIKA ZINAHITAJI OVERHAUL
 
Halafu misaada unaenda kuomba kwa wazungu, kila kitu unanunua cha wazungu alafu kwa umasikini wako unaona kuchangia harusi ndo kuwa UNIQUE compared to wazunguz????!!!....HIZI AKILI TULIZONAZO WAAFRIKA ZINAHITAJI OVERHAUL

Una fikiri kama mtoto. Mungu akusaidie sanaa.
 
michango ya harusi nachangiaga ila huwa natukana moyoni kila nchangiapo

......yaan kuna ndugu wawili wanashea mama ila baba tofauti
X-ana uwezo kipesa kimtindo, Y ana ishi kwa kuungaunga
X nlimchangia 50,000 na Y alipougua kwa muda mrefu nikamchangia 3000 ya matibabu

BADO JAMII INANIONA MIMI WA MAANA SANA, changia harusi upate marafiki
 
Utoto unawasumbuwa mkikuwa mtajitambuwa tu, mmeshavimbiwa makande mnaanza kubwabwaja tu.

Kuchangia ni jambo la hiyari kama wewe linakukera usichange haujavunja katiba ila kwa kifupi tu inaonesha bado hamjaijuwa vizuri dunia.

ni hiyari hivyo si vizur kumteta hasiyechangia
 
Kuchangia haruc si upuuzi bali ni kuonesha mshikamano na watu wengine ndani ya jamii,ukikataa kuchangia sasa kumbuka kua utakuja kua na watoto ambao watahitaji michango.
Kwani nisipochangia harusi halafu nikashiriki kwenye ugonjwa wako, msiba si mshikamano huo? mpaka tuteketeze ML.8, 10, 12 nakuendelea ambazo hata wewe mwenyewe unayechangisha hujawahi kuwa nazo ndiyo tunashikamana? Harusi mipango yako huna kitu shika mtu wako kwapani mguu kwa mguu hadi kanisani au kwa sheikh funga ndoa kafanye mambo mengine la kama unazo za ziada waite watu wakusaidie kupanga viti, kukaribisha wageni na kugawa chakula ni mshikamano tosha sio lazima nikupe pesa ambazo kuna watu chungu nzima wenye mahitaji yenye tija wanazihitaji!
 
Hivyo vyote vya nn?....Watu wanachanga huku wananung'unika kutakuwa na heri kwenye ndoa kweli?...Siku hizi ndoa nyingi zinafungwa mwanamke akiwa tayari anamimba. Vijana wa kileo wanasema hawawezi "KUUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA"....NDO MAANA NDOA NYINGI ZA VIJANA WA DOTCOM ZINAVUNJIKA BAADA YA HARUSI.

HAPO RED niko pamoja nawe
WATU waite kikao cha kumchangia mgonjwa utaona michango ya buku kumi kumi ila waite kwenye harusu kuchangia utapata michango mikubwa yaani sjui tumekuwaje?

Huwa nachanga huku moyo ukiniuma kwa maana iwe 30000, 50000,100,000 NAWAZIA KAMA nkununua kiroba cha sembe nkapitia Mburahati kituo cha mayatima au hata nikampa mmama yeyote anayehangaika mtaani itakuwa faraja kiasi gani kwake kuliko kula na kunywa kwa siku mmoja kwenye harusi
 
HAPO RED niko pamoja nawe
WATU waite kikao cha kumchangia mgonjwa utaona michango ya buku kumi kumi ila waite kwenye harusu kuchangia utapata michango mikubwa yaani sjui tumekuwaje?

Huwa nachanga huku moyo ukiniuma kwa maana iwe 30000, 50000,100,000 NAWAZIA KAMA nkununua kiroba cha sembe nkapitia Mburahati kituo cha mayatima au hata nikampa mmama yeyote anayehangaika mtaani itakuwa faraja kiasi gani kwake kuliko kula na kunywa kwa siku mmoja kwenye harusi

Tatizo letu tunapenda kubishana na ukweli..............Men lies women lies but facts doesnt lie......CC SUGU
 
Kwani nisipochangia harusi halafu nikashiriki kwenye ugonjwa wako, msiba si mshikamano huo? mpaka tuteketeze ML.8, 10, 12 nakuendelea ambazo hata wewe mwenyewe unayechangisha hujawahi kuwa nazo ndiyo tunashikamana? Harusi mipango yako huna kitu shika mtu wako kwapani mguu kwa mguu hadi kanisani au kwa sheikh funga ndoa kafanye mambo mengine la kama unazo za ziada waite watu wakusaidie kupanga viti, kukaribisha wageni na kugawa chakula ni mshikamano tosha sio lazima nikupe pesa ambazo kuna watu chungu nzima wenye mahitaji yenye tija wanazihitaji!

bado utaonekana huna maana na utanuniwa ile mbaya
ukitaka mtaani au ofisini uwe wa maana wewe changiaga miharusi na sio ugonjwa au vifo.....mimi imeshanikuta nlichangia matibabu tena hela nzuri tu kwa uwezo wangu.....miezi miwili baadae the same jamii (UKOO) ukaitajika mchango wa harusi sikuchangia nkapoteza marafiki kibao wa ukoo

nilitoa nearly 10% ya gharama za matibabu......ukoo ukajazia 90% watu kibao yaani kama vile kila mtu alitoa 2000 ila kwenye harusi skuchanga...wana ukoo walichanga kwa aliyetoa kidogo 50,000 HAPO NDIO NLIISOMA
 
You have my full support achana na akili za losers, tena sasa kuna kila sababu umri wa mgombea urais uanzie miaka 60, akili za vijana wa leo zina walakini.

hahaaa huyo ndio Mpwa wangu............. nakubaliana na hoja yako hapo
kwenye umri wa uraisi
 
Invisible Matola mwangalieni huyu mtu. Ni busara anachofanya ?? Cz hajui watu tu washenzi zaidi yake ni vile umri umekwenda.

Kijana anafkiri kila mtu wa kutusi sio ??

Hiyo ndio silaha ya mpumbavu akiishiwa hoja, kwakuwa JF siku hizi ni kama kokoro hawa wanaosumbuliwa na barehe ni wa kuwapuuza tu kuliko kushindana naye he will drag you down to his level and beat you with experince.
 
Last edited by a moderator:
Bora uache kujibizana na mm........sifa yako ni km nilivyokutaja hapo sasa unabisha nn....
HUJIELEWI

And u thot im scared of u ?? Basi Fanya tujibizane face to face ili tupate muafaka vizuri.....You cud prove whose the real bwabwa in here, if its me or you.

Alaf unaweza ukawa na mfano kwa wengine.
 
HAPO RED niko pamoja nawe
WATU waite kikao cha kumchangia mgonjwa utaona michango ya buku kumi kumi ila waite kwenye harusu kuchangia utapata michango mikubwa yaani sjui tumekuwaje?

Huwa nachanga huku moyo ukiniuma kwa maana iwe 30000, 50000,100,000 NAWAZIA KAMA nkununua kiroba cha sembe nkapitia Mburahati kituo cha mayatima au hata nikampa mmama yeyote anayehangaika mtaani itakuwa faraja kiasi gani kwake kuliko kula na kunywa kwa siku mmoja kwenye harusi

Kama roho inakuuma usi change kabisa utakua unajiumiza bure na stress za ndani kwa ndani kutoa ni moyo.
 
Back
Top Bottom