sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 868
Nashangaa mtu anapanga kuoa, wakati huo hajui wewe umepanga nini? Sasa ukimwambia mimi sina hela kwa sasa kutokana na hali ilivyo, ananuna! Waswahili sisi tuna taabu.
Wanapokutana kwenye hivyo vikao vya harusi agenda ni mimi.
Jamani kila mtu ana majaaliwa yake katika kuzipata fedha, sasa mfuko wangu usiupangie matumizi.
Wanapokutana kwenye hivyo vikao vya harusi agenda ni mimi.
Jamani kila mtu ana majaaliwa yake katika kuzipata fedha, sasa mfuko wangu usiupangie matumizi.