Harufu zinazokera

Fuliji la kamongo waliochacha😂
 
Kuna watu wanajanaba hata ikoge vipi halitoki kwa siku moja. Unajiuliza yule ni mtu au mfu kudadeki.
Janaba kwa Kiislamu sio harufu, hata ukijindondishea tone tu la shahawa au ukigusa tu Ute kutoka uke wa mwanamke hiyo tayari janaba.
 
Wahindi ndio najua kuna mda manukato yao yananuka kwa sababu wanatumia sandalwood , Inasemekana mda mwingine yanakaribisha chawa , ila kwa usafi waarabu wapo vizuri
Wahindi na wachina wachafu sana wanaoga mara moja kwa wiki na wengi wana mikono ya sweta mgodi wa uchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…