Sijawahi kuumwa roho kwasababu yeyote zaidi ya kufiwa na kuumwa..sasa umejuaje nimeumia?
Nashangaa watanzania watakavyoliwa mapesa (anyway imekuwa kawaida alianza babu wa lloliondo)..sasa cdm eti ukombozi..
Ukombozi hauletwi na mtu wala chama bali wewe mwenyewe mkuu..hiyo michango inafazili miradi (chopa) wenye chama..wewe endelea kusubiri ukombozi hadi kiama utakuwa hujakombolewa hadi ujikomboe mwenyewe..stuka..
huyo ni wa pwani mkuu..
huo ndio ujinga wa kuzaliwa siku za karibuni. unamdanganya na ni kwa upuuzi huu wakati magamba tunaona wivu kwa vuguvugu hili la wenzetu wa magwanda? zamani kabla hujazaliwa tulikuwa tunatembeza bakuli hata kwa kugharamia ziara ya mwenyekiti wa chama kutembelea matawi ya vijiji hata vilivyo karibu na makao makuu ya chama wilaya. hivo hivyo akija mgeni toka mkoani na taifani na huku chama kilikuwa kimoja na kauli mbiu ya chama kushika utamu.ukombozi ni kwa kutembeza bakuli, tena naomba hili bakuli litembee nchi nzima kama mwenge wa uhuru, nchi hujengwa na wananchi na siyo kikundi kidogo cha watu
bravo CDM
Wewe mchawi! Umefumbwa macho kiaisi cha kutoona hata punje ya ukweli. Pepo la upofu ndani ya mtu huyu na wenzake wa jinsi hii toka katika jina la Yesu!hii sadaka ni kwa ajili ya kanisa na watu wa kaskazini
Asante sana Mzee Mtei. Kesho ntatumbukiza CRDB
hawezi toka magharib kwa kina Zito, Machal, mkosa mali na kafulila, huyo atakuwa wa kanda ya kati kuanzia tabora, singida, dodoma na moro. Au hata kusini kama ulivyosema lakini si mbeya kwa kina sugu na silinde
Sijawahi kuumwa roho kwasababu yeyote zaidi ya kufiwa na kuumwa..sasa umejuaje nimeumia?
Nashangaa watanzania watakavyoliwa mapesa (anyway imekuwa kawaida alianza babu wa lloliondo)..sasa cdm eti ukombozi..
Ukombozi hauletwi na mtu wala chama bali wewe mwenyewe mkuu..hiyo michango inafazili miradi (chopa) wenye chama..wewe endelea kusubiri ukombozi hadi kiama utakuwa hujakombolewa hadi ujikomboe mwenyewe..stuka..
kwa jana pekee, cash zilikusanywa bei gani? mie nilitupia via M PESA
Hiyo ni siri ya watu wawili..M&S, labda system analyst wa CDM anaweza kuambiwa na S. Nyie public hamhitaji kufahamu!Tunataka kujua zimepatikana sh ngapi mpaka sasa?
Jamaa limejawa na wivu halijalala usiku kucha kisa CDM imekusanya bilioni kutoka kwa wenye chama chaon yaani wananchi wa pande zote na dini zote Tanzania. Amka Rejao, thamini utu wako kwa kujiunga na chama kinachokubalika kwa wananchi na sio chama chako kinachokataliwa na wananchi kwa kasiHiyo ni siri ya watu wawili..M&S, labda system analyst wa CDM anaweza kuambiwa na S. Nyie public hamhitaji kufahamu!
Jamaa limejawa na wivu halijalala usiku kucha kisa CDM imekusanya bilioni kutoka kwa wenye chama chaon yaani wananchi wa pande zote na dini zote Tanzania. Amka Rejao, thamini utu wako kwa kujiunga na chama kinachokubalika kwa wananchi na sio chama chako kinachokataliwa na wananchi kwa kasi
Wajameni, mpesa inanigomea mpaka sasa "huwezi kutuma pesa kwa CHADEMA ARUSHA" hi ni hujuma? Tangu sa 2 jana mpaka sasa. Aghrrr! Au ac yao imejaa? Kwani ac ya mpesa ina limit? Viongozi mfuatilie hili mtupe taarifa ya hili!
Kumbe Nasari ni Mwali??????
Yawezekana wakasema mengi kwa sababu wamewahiwa!
Angelo kasema maeneo kadha kwa kadha umeme umekatwa
Wapi TUNTEMEKE,PAA,TII NA PWAA?
Tatizo lako wewe mtumbatu ni ufinyu wa akili yako, na bahati mbaya sana kwako ni kuwa hujui kama unauwezo mdogo sana wa kuchambua mambo. uwezo wako ni kushawishiwi vijana wa kiislam kuukumbatia ujinga na umaskini!Changeni wakuu (wajinga ndio waliwao)..
Mkishachanga na arumeru mkapata 28% vs 72% msije hapa na hoja muflis..oh hatakuwa na hela kama ccm ok?
Msisahau kuuliza matumizi yake..(kukodisha chopa ya ndesamburo kwa fee kubwa); aisee wachaga wana akili ya pesa..