Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

[h=6]Kiukweli kama watanzania ni wazalendo na nchi yao. basi kauli za uongo zinapaswa kupigwa vita. Leo nashangaa kusikia kuwa nchi yetu haikuwahi kuwa na mshikamano, umoja, upendo na amani mpaka hapo ambapo CDM wamekuwa chama cha kwanza kuleta mshikamano hapa Tanzania, ninaweza kuita ni kauli dhaifu kwa kiongozi mkubwa kama yeye (Dr. slaa) unapo utangazia umma kuwa CHADEMA ndo chama cha kwanza kuleta mshikamano Tanzania, naomba tujiulize

1. Tanzania ilipataje uhuru wake bila mshikamano
2. Tanzania iliondoaje ukabila bila mshikamano
3. Tanzania ilishindaje vita vya Idd Amini bila ya mshikamano
... 4. Tanzania imeingiaje kwenye mfumo wa vyama vingi na uhuru wa kuongea(kuropoka, maana wengine wanaropoka tuu kisa yupo huru) bila mshikamano
5. Tanzania imetunzaje amani ya nchi yake bila mshikamano

Je kwa kipindi chote hicho mpaka leo watanzania wanaishije bila ya mshikamano

Je CDM imefanya kipi au imechukua lini madaraka mpaka imeleta huo mshikamano ambao nchi haukuwa nao????????????????

kwa hoja na sio ushabiki naomba kusaidiwa

najua waropokaji watakuja na kuanza kudai oh katumwa. Mimi ni msomi najitambua hivyo sin jinsi ya ya kumfanyia kazi mtu mwingine. but nahitaji kuyajua haya tu.
[/h]

unajihami kabla? Wewe ni gamba tu! Wewe unaona kuna amani wakati watu wanakufa na njaa?wakati huo huo magamba (ccm)fisadi mmoja anamili mabilion yetu. Ucha us.nge
 
Strategists wa CHADEMA wako juu sana. Nina wasiwasi na vyama vingine vya siasa kama vinaweza kuwa na mipango ya kuweza kuwa andaa watanzania kujua na kudai haki yao.

Nina hisi hawa strategists wa vyama vingine sana sana watakuwa wanaangaika kuchafua malengo ya CHADEMA kuhakikisha watanzania wanatambua haki zao kama rai wa nchi hii. Big Up Strategists wa CHADEMA.
 
Hapo Mama Junior anafurahi tu mpunga umeingia, Baba Junior anapiga hesabu ya kumalizia jumba lake la kifahari Kunduchi Beach watu wanachangishwa pesa bila kufahamu zinakwenda wapi CDM bhana.

hizi siyo za kifisadi kama zile El , Rostam, Jk, chenge, Bmk walizotuibia
 
Hawa wanaojiita wasomi Tz, waajabu sana, watu vijijini wanapata shida usipime, wanakuja mimi msomi; usomi wako hauna maana kama ndugu zako kijijini ulikotoka hata mbolea inayoitwa RUZUKU hakuna, mbuzi kama hamna new idea mngekuwa mlala tu. Wabunge CCM ndivyo walivyo msishangae Mwigula, mmemsahau Adamu Malima, eti mwezi asiyemzoefu aliingia chumbani, hii ni fedheha. CDM naifagilia, namuomba mwenyezi Mungu 2015 nishuhudie DR.SLAA anaapishwa.
 
Harambee hii inafanyika Kaskazini kwa sababu ni moja kati ya maeneo ambayo raiya wake wamejikomboa kifikra.
Harambee hii inafanyika usiku kwa sababu mchana watu wengi wapo makazini/shuhulini kwao wakitafuta hizi pesa za kuchangia usiku huu.
Samahani, Eti kwako ni magharibi au kusini??
huyo ni wa pwani mkuu..
 
huyo ni wa pwani mkuu..

Okey kama ni wa Pwani ni very easy kugundua uwezo wake wa kufanya maamuzi makini katika kuchagua jema na baya.
Watu wengi wa ukanda huo uliutaja wanahitaji ukombozi wa kifikra kwani kuwatazama tu kwa level ya kifamilia utagundua kuwa ni wazoefu wa shida.
 
Changeni wakuu (wajinga ndio waliwao)..

Mkishachanga na arumeru mkapata 28% vs 72% msije hapa na hoja muflis..oh hatakuwa na hela kama ccm ok?

Msisahau kuuliza matumizi yake..(kukodisha chopa ya ndesamburo kwa fee kubwa); aisee wachaga wana akili ya pesa..
 
Changeni wakuu (wajinga ndio waliwao)..

Mkishachanga na arumeru mkapata 28% vs 72% msije hapa na hoja muflis..oh hatakuwa na hela kama ccm ok?

Msisahau kuuliza matumizi yake..(kukodisha chopa ya ndesamburo kwa fee kubwa); aisee wachaga wana akili ya pesa..

Hii movement inawatesa wengi sana.
Kinachowaumiza kichwa nyinyi wadhalimu ni huu muitiko unavyokua na level ya kitaifa na sio kichama.
Kuchagua/kuchangia CDM ni kufikisha ujumbe kwa watawala kuwa tumechoka kunyanyaswa na mkoloni mweusi.
 

Hii movement inawatesa wengi sana.
Kinachowaumiza kichwa nyinyi wadhalimu ni huu muitiko unavyokua na level ya kitaifa na sio kichama.
Kuchagua/kuchangia CDM ni kufikisha ujumbe kwa watawala kuwa tumechoka kunyanyaswa na mkoloni mweusi.

Umechangia ngapi wewe mwenyewe mkuu?

Hii movement ina muumiza nani? (acha utani mkuu); hizo pesa za ndesamburo, wewe unafikiri kuwa na helikopta bila kazi inalipa??

Umechangia ngapi?
 
Umechangia ngapi wewe mwenyewe mkuu?

Hii movement ina muumiza nani? (acha utani mkuu); hizo pesa za ndesamburo, wewe unafikiri kuwa na helikopta bila kazi inalipa??

Umechangia ngapi?

Ninachokichanga kitabaki kuwa siri daima.
Sasa kwa nini roho imekuuma namna hii kuona raiya waliojikomboa kifikra wakichangishana kwa ajili ya kumpambania mjukuu wako mnayemsiliba na wimbo wa maisha bora??
 
Ninachokichanga kitabaki kuwa siri daima.
Sasa kwa nini roho imekuuma namna hii kuona raiya waliojikomboa kifikra wakichangishana kwa ajili ya kumpambania mjukuu wako mnayemsiliba na wimbo wa maisha bora??

Sijawahi kuumwa roho kwasababu yeyote zaidi ya kufiwa na kuumwa..sasa umejuaje nimeumia?

Nashangaa watanzania watakavyoliwa mapesa (anyway imekuwa kawaida alianza babu wa lloliondo)..sasa cdm eti ukombozi..

Ukombozi hauletwi na mtu wala chama bali wewe mwenyewe mkuu..hiyo michango inafazili miradi (chopa) wenye chama..wewe endelea kusubiri ukombozi hadi kiama utakuwa hujakombolewa hadi ujikomboe mwenyewe..stuka..
 
Humu kunawatu ukisoma wanakulazimisha kuwaomba watanzania wawahasi kama ng'ombe wa kilimo, bahati mbaya ni useless bora ya ngombe atalima zaidi, hawa ndio wanaolzimisha nchi hii kupitia mabadiliko kwa kumwaga damu, hivi wanapewa shilingi ngapi? au ni hivyo vyeo vya ngono na ujamaa wanavyojaziwa? wasitulazimishe tuchukue hatua za haraka maana wao na hao miungu wao wanakula na kusaza kwa kodi zetu, tena wamefikia mahali hata wao kujichangia wameacha maana wamesamehewa kodi zetu, sasa awamu inayokuja ni kushawishi watu wajiulize kodi zao zinaenda kufanya nini. maana unasoma humu unasikia kinyaa kabisa kama ni mtoto si ridhiki
 
Back
Top Bottom