Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Ajabu haijapata kutokea!CDM imezindua mpango wa kuendeshwa kwa nguvu ya umma huku ikirusha live na star tv.
Juma ya hela zilizopatikana cash kwa wale waliokuwa tayari kutangwa live ni zaidi ya millioni 200. Majumuisho yakifanyika usishangae ikawa mabilioni kwa watu wamekua wanatuma cheki na kuchanga kupitia M-PESA,TIGO PESA,AIR TEL PESA NK.
Katika hali ya kutatanisha TANESCO walikata umeme wakati kipindi kinarushwa katika jiji la Arusha.GENERATOR LATUMIKA KURUSHA MATANGAZO.

Source Star TV
 
Kuna jamaa amefunguka eti Iramba hawana mbunge eti aliyepo ni mzinzi. jamani sio kwa Mwigulu huko???
 
Magufuli umemsikia dogo......akili kumkichwa, Dr.Mkumbo 2m, sasa rudi nyumbani tujenge Iramba yetu kaka mkuu
 
Wanaume haooooo wameondoka hewani, mlioko kwenye tukio muendelee kutupa yanayojiri....... Big up CDM
 
Nawashangaa sana watu wanomchangia mtoto mtukutu! Mpaka baba yake amemchoka nyumbani!!
Watukutu mbona wabajulikana..Wanaambiwa waache kuwa marafiki na mafisadi lakini ndio kwanza wanapokea posa!
 
Ukitafuta net worth ya Chadema na wanachama wake wote hata ukiwacompaund to infinity hawafikii hiyo value!
Imebidi ni google lakini nikaambulia patupu ulikuwa na maana gani kuwa compaund wanachama.
 
Kuna jamaa amefunguka eti Iramba hawana mbunge eti aliyepo ni mzinzi. jamani sio kwa Mwigulu huko???

Huyu Mwigulu mbona bado wana m entertain sana.. Ilibidi azomewe kila anapopita how come anakula mke wa kada wa Chama? Halafu bado NEC ya CCM inamchekea chekea
 
Anjelo sasa anafunga matangazo ya TV ila shughuli inaendelea kwa walio ukumbini!
 
Ajabu haijapata kutokea!CDM imezindua mpango wa kuendeshwa kwa nguvu ya umma huku ikirusha live na star tv.
Juma ya hela zilizopatikana cash kwa wale waliokuwa tayari kutangwa live ni zaidi ya millioni 200. Majumuisho yakifanyika usishangae ikawa mabilioni kwa watu wamekua wanatuma cheki na kuchanga kupitia M-PESA,TIGO PESA,AIR TEL PESA NK.
Katika hali ya kutatanisha TANESCO walikata umeme wakati kipindi kinarushwa katika jiji la Arusha.GENERATOR LATUMIKA KURUSHA MATANGAZO.

Source Star TV
Watanzania sasa itabidi tuwe wakali kwa sababu hizo ni pesa zetu, nadhani baada ya hapo kuna haja MBOWE na SLAA ku-step down ili fedha hizo zisipitie tena mikononi mwa Josephine na BILCANAS
 
Back
Top Bottom