Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
Mohammed Dewji ni kada wa CCM na alikuwa anatoa kwa chama tawala na hivyo hakuna kitu ambacho angehofia katika maslahi ya biashara zake zaidi ya kupata neema. Na kama hiyo haitoshi wote tunafahamu biashara za MO na uhusiano wake CCM. Hivyo kulinganisha sadaka ya Dewji na Ndesa ni sawa na kufananisha/kukutanisha mbingu na nchi, Mwanaume na mwanamke ungali unajua tofauti zao
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Hatutaki fedha za wizi, chafu au za ufisadi Kaana mwenyewe, MBOWE, F.A (2012, March).
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Hapo hujamtaja Rostam, Chenge na EL!
Lakini tujiulize huo msaada wao ni kwa ajili ya ukombozi wetu au wa wateule wachache? kodoi wanalipa?
 
Kuchangia Upinzani sio kazi ndogo, Mwanza kuna mfanyabiashara mkubwa alifikia hatua ya kufa akiwa anaokota makopo baada ya kufirisiwa kwa madai ya kodi baada ya kuisupport UDP Kwimba mwaka 2000. cheza na ma undetaker nini.
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Dewji ni Fisadi huwezi kumfananisha na Kamanda Ndesa Pesa anayelipa kodi yake ya halali
 
Misamaha ya kodi iko kisheria, mwambieni na Ndesamburo nae aiombe atapewa tu hiyo misamaha ili na yeye akichangie chama zaidi ya hizo

Unajua sheria ya misamaha ya kodi ipo kwa taasis/watu gani?unajua moja ya kosa lililompeleka B. Mramba mahakamani?tunaomba umwage na data za kutosha ni lini na wapi M .Dewji alimwaga 560m,wengine hatuna kumbukumbu za kutosha
 
Harambee ianzishwe kwa ajili ya radio na tv chadema ili kuleta wepesi wa kuangalia matukio mbalimbali ya chama na pia itasaidia kupeana habari mbalimbali

Wazo hili limezungumzwa sana bila mikakati ya dhati. Tunaomba viongozi wa CDM muanze kulifanyia kazi wazo hili ili ifikapo 2014 vianze kazi rasmi. Chama kikiwa na TV, magazeti na redio vitasaidia kuwafikia watanzania wengi zaidi na kurahisisha ukombozi.
 
Ukupata kihalali bwana hakuna atakae kutisha hata ukikaguliwa na MRA (Mungu Revenue Authority) unashida gani na umevipata kwa njia halali
 
Dewji anatoa Rushwa ili akubaliwe na watanzania aendelee kufanya biashara. Kama Dewji anazo pesa nyingi hivi mbona ana kesi mahakamani ya kudaiwa na wafanyakazi wake? anadhalilisha vijana wa kitanzania kwa mishahara midogo na hiyo midogo hawapatii. Kama anazo pesa zote hhizo mbona aliahidi kujenga Uwanja wa Namfua Singida lakini hadi sasa hata mfuko wa sementi hajaleta? Ndesa amechangia mengi hata Choper wanayotumia Chadema na kuwafanya CCM waweweseke anatoa Ndesa. Mchango wake katika Chadema ni mkubwa sana, lakini umesadia Watanzania wengi.
 
ndesamburo ni mpambanaji wa ukweli na pesa zake hazitokani na ufisadi, BIG UP NDESAPESA
 
Huyo anaejiita Genius Brain ni muongo wa kutupwa,aweke wazi hapa ni wapi na lini Dewji alitoa mchango huo kwa c.c.m?asilete vitu bila data akadhani wote uwezo wa kufikiri ni sawa na wake!
 
Jamaa limejawa na wivu halijalala usiku kucha kisa CDM imekusanya bilioni kutoka kwa wenye chama chaon yaani wananchi wa pande zote na dini zote Tanzania. Amka Rejao, thamini utu wako kwa kujiunga na chama kinachokubalika kwa wananchi na sio chama chako kinachokataliwa na wananchi kwa kasi

Hivi una uhakika gani kuwa kiasi Rejao alivyochafuka na fikra povu hataambukiza au kuleta maradhi kwa baadhi ya wana CDM iwapo itajiunga na CDM?
 
Mimi nimekachangia CDM Tsh 10,000/- Huenda mimi nimechanga nyingi zaidi kuliko hata akina Ndesa Pesa na Dewji. Ni Hesabu za PROPORTION
 
Mohamed Enterprises imewalisha sana watanzania vyakula vibovu,and frankly uwa situmii any product ya hiyo kampuni for sure.
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?
 
Ha ha haaaaa Tshs 20 million, ndio nyingi ? Nakumbuka Mh. Mohammed Dewji alikichangia chama chake Tshs 560million, sasa hapo kwa yeye tungesemaje ?

Unasifia Kodi Ya Maendeleo Iliyoporwa na Kuchangwa Kwenye siasa? Huyu Katoa Faida yake Halali!!
 
This movement is more than peoples power. I support it, and I think it will be more than Tsvangirai's movement for change, Laila's Orange Movement. This is Tanzanians movement. Lets go Citizens.
 
Ndesa Pesa amechangia jasho lake, safi sana ndesa, hizo za dewji pesa chafu zimepatikana kwa ufisadi unaolindwa kwa nguvu zote na ccm
 
Back
Top Bottom