Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Wahusika, kuanzia King'asti hadi Husyn aliejivua gamba
Wote njooni hapa uwanja wa Baresa Manzese, nshaweka turubai
Mods wakiongozwa na RR wana kazi ya kuandaa mboga, huo mbuzi wachunwe vizuri
Product ya nfaka itaongozwa na MJ1 na wajukuu wa babu ODM wote
X-paster atasimamia maakuli mengine yooote yatakayopendezesha sherehe kama desert, starter
Sasa sijui hawa tablets na Fidel wakae kwenye vinywaji? au tutakuta stoo nyeupe, basi hawa wasimamie kibuku tu
Vinywaji vingine vitasimamiwa na Rejao na Bishanga.
Afrodensi, kazi yake leo ni kutabasamu na kutizama watu machoni tu:glasses-nerdy:
Wakaka wooote, pangeni viti na kufagia uwanja.
Wote njooni hapa uwanja wa Baresa Manzese, nshaweka turubai
Mods wakiongozwa na RR wana kazi ya kuandaa mboga, huo mbuzi wachunwe vizuri
Product ya nfaka itaongozwa na MJ1 na wajukuu wa babu ODM wote
X-paster atasimamia maakuli mengine yooote yatakayopendezesha sherehe kama desert, starter
Sasa sijui hawa tablets na Fidel wakae kwenye vinywaji? au tutakuta stoo nyeupe, basi hawa wasimamie kibuku tu
Vinywaji vingine vitasimamiwa na Rejao na Bishanga.
Afrodensi, kazi yake leo ni kutabasamu na kutizama watu machoni tu:glasses-nerdy:
Wakaka wooote, pangeni viti na kufagia uwanja.