The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Nashukuru mkuu Nicas MteiHappy Birthday The Finest.
Last edited by a moderator:
Nashukuru mkuu Nicas MteiHappy Birthday The Finest.
Asante beibe nastyalways remember God has a plan on u n dats why u still here up to this point. If nt of God's will today even our wish wouldnt b valid. HAPPY BIRTHDAY DEAREST FINEST
Asante FirstLady1 mkwe
Cantalisia thank you for the warm wishesWishing you all the best in the year to come.
May your days be filled with sunshine and beautiful colors.
And may your nights be filled with comforting dreams and wishes to come.
THE FINEST.
Siku na miezi imepita
Leo ni siku pekee katika maisha yako
Siku ambayo mama yetu mpendwa alikuleta duniani
Ni furaha yetu sote kusherehekea pamoja na wewe na kukupongeza kwa siku hii njema katika maisha yako
Siku ya kukumbuka kuzaliwa kwako
Tunakuombea maisha marefu na yenye furaha Mungu akikutangulia katika yote
Happy Birthday Tripo9.
Mkuu hongera kuongeza namba za kuwepo duniani...
Asante swahiba sweetlady kumbe upoHeri ya siku ya kuzaliwa The Finest.
Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo siku zote...
Nashukuru mkuu InkoskazMkuu hongera kuongeza namba za kuwepo duniani...
Kongosho hiyo kwenye blue imekaa vizuri maana najua unahusika sanaHappy Birthday Slogan partiner!
Unataka shughuli ya kualika akina Mariah Carey [ale Kempsiky au mdumange kwa mama muuza?
Nimekuja rasmi kusherehekea hii birthday The Finest, baada ya sherehe kuisha narudi nilikokuwa!..Asante swahiba sweetlady kumbe upo
sweetlady sasa hivi biashara niliyopata inalipa kweli nimefungua duka nauza dawa za kuongeza nguvu za kiume na kike swahiba mwambie swahiba wako klorokwini aje nimfundishe mbinu za ujasiriamali kwenye biashara hiiNimekuja rasmi kusherehekea hii birthday The Finest, baada ya sherehe kuisha narudi nilikokuwa!..
swahiba TF, klorokwini anajua mahali nnapopatikana kwa sasa hivyo biashara ikiyumba usisite kumwambia akulete niongeze mtaji.
Hahaha! Kumbe umeacha kuuza Azam Cola? Kama ni hiyo kweli inalipa lol. Ngoja niwasiliane na Amyner aje amchukulie Erickb52, jana alipita kwangu akanambia wamehangaika bila mafanikio.sweetlady sasa hivi biashara niliyopata inalipa kweli nimefungua duka nauza dawa za kuongeza nguvu za kiume na kike swahiba mwambie swahiba wako klorokwini aje nimfundishe mbinu za ujasiriamali kwenye biashara hii
Swahiba sweetlady huyu klorokwini hajawa shoe shine wa Obama kweli..Hahaha! Kumbe umeacha kuuza Azam Cola? Kama ni hiyo kweli inalipa lol. Ngoja niwasiliane na Amyner aje amchukulie Erickb52, jana alipita kwangu akanambia wamehangaika bila mafanikio.
klorokwini kwasasa hawezi kufanya ujasiriamali kama huo manake ameula huko kwa Obama, akija atakuthibitishia na atakwambia amepata zali gani.
Hahaha, heri mimi sijasema! Nakunong'oneza ila usimwambie akija... klorokwini ni mtunza bustani huko kwa Obama!..Swahiba sweetlady huyu klorokwini hajawa shoe shine wa Obama kweli..