AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #81
happy bday babu,sasa vile we ni mtoto mzee zawadi gani itakufaa?mi najito. Mwenyewe kama zawadi ntakuwepo kwa ajili ya kukukanda kanda mgongo,sidhani kama iyo kazi imepata wakuifanya,eti Ashadii?
Hio kazi tayari ina mtu.... Daughter utahitajika kwenye mapambo.... Akina King' na SL wameelemewa... Mpitie na FL1 Kajikausha kama vile aoni - Utegezi tu umemjaa! lol