<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Smile kakupa dhawadi gani? Babu, angalia nisikuaribie siku yako..
Nasubiria mahari yako.... ukichelewa nambinafsisha kwa fellow tablet mpaka apate hii makitu...:mimba:

Niko hapa next to you Babu... unataka nini?
Hebu sogea karibu zaidi unishikie huu mkongojo wangu.... nataka nikupe...😛opcorn:

lahaula! mambo hazarani. acha nikae seat ya mbele
Fellow tablet rule namba tatu hapo haihusiki. Hivi Keren Happuch umemwacha wapi? Aliniahidi angeniletea:hat: kutoka arachuga
 
Niko nje kwa zamana. Kuna mdada humu JF akikuweka kinyumba basi umekwisha. Nitapotea tena soon. Dah!
Hahahahahah...As long as unaenjoy haina tabu! Usikitumie sana lakini, kitumie kwa kiasi, utubakishie na sisi!!
 
Nasubiria mahari yako.... ukichelewa nambinafsisha kwa fellow tablet mpaka apate hii makitu...:mimba:
Dah! Ngoja niwahi..huyo kloro haaminiki kabisa! Anaweza akafanya kweli,
 
Fellow tablet rule namba tatu hapo haihusiki. Hivi Keren Happuch umemwacha wapi? Aliniahidi angeniletea:hat: kutoka arachuga
hehehe fellow tablet, Keren Happuch kapotea njia msuba umedakwa na figganigga, malizia na ugoro tu huku tamaa ni ndogo sana
 
Dah! Ngoja niwahi..huyo kloro haaminiki kabisa! Anaweza akafanya kweli,
Hahahaah fellow tablet wangu ni :hatari: kama Lionnel Messi. One mistake kitu kinatinga nyavuni

hehehe fellow tablet, Keren Happuch kapotea njia msuba umedakwa na figganigga, malizia na ugoro tu huku tamaa ni ndogo sana
Afu huyu mzee wa mia machale yananicheza. Tangu alipofumaniwa anapiga nyoka mafuta kwenye gari la faya hajaonekana tena hapa jamvini

Mmmhhh? are you sure????
:hand: ngoja kwanza...
Deskmate, I need your advice hapa.
:juggle::A S-coffee:😛hoto:
 

.......................zawadi yako io babu
 
Mmmhhh? are you sure????
:hand: ngoja kwanza...
Deskmate, I need your advice hapa.
Advice for what? hehehe ninavomjua fellow tablet hatanii, anamaanisha.
We kaushike tu halaf kesho ukacheki klinik
 
hehehe mzee wa mia hela ya wese kaenda kuibiwa zenji na zinduna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…