cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
ndio nimetoka salon, nataka nivae nizianze mapemaaaaaaaaaa!mambo yangu poa tu na mzima tu mamito cacico,
h'b'day,
yani huyo wajina wake ndo anataka amzimishe kbs?
Yani leo huko lazima watu warudishwe majumbani mwao na mikokoteni.
Jinsi 'watakavyoangusha magari'